meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Nahisi kama EL amechelewa kujibu anayotaka kuyajibu juu ya sakata hili.
Hii ripoti ni moja ya vielelezo tosha kuwa LOWASSA ni nyoka.
.......Kweli nyie Vilaza wa CCM ni wapuuzi na wanafiki, leo hii mnaona ripoti ya Yericko Nyerere ni kuelelezo tosha wakati siku zote huwa mnamponda kwa ripoti zake au kwaajili hii mna interest nayo?
I always respect your comments and reports YN!
Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni. Kamati Teule haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa moja kwa moja Mhe. Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development Company LLC
Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni. Kamati Teule haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa moja kwa moja Mhe. Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development Company LLC
Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni. Kamati Teule haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa moja kwa moja Mhe. Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development Company LLC
Makanjanja kama wewe na wenzio mna tabia ya kudandia msitari badala ya kusoma taarifa kamili. Sasa hapa Lowasa kuwajibika au kuhusika unakuelewaje zaidi ya usafisi wa dhamira yake.Ah
Ahsante sana Yeriko Nyerere kutukumbusha taarifa hii. Nimetumia 2hrs kuisoma kwa umakini upya. Hakika ni dhambi Lowassa kukataa kuhusika moja kwa moja kwa kupata faida binafsi katika kampuni ya kitapeli ya Richmond. Lakini pia nimshukuru Dk. Msabaha aliyesema wazi mbele ya Kamati Teule ya Bunge kuwa Richmond ni dili la Lowassa na swahiba wake Rostam Aziz. Dhambi hii itakuandama ewe Lowassa hadi kaburini na uzao wako unless utubu hadharani.
Kwa kweli....Ama kweli dunia ni duara.
Hahaha acha tu ndo maana nikasema dunia duara maana.Kwa kweli....
Kuna watu hawawezi kurudi kwenye huu uzi...
Maana hawakuweka akiba ya maneno.
Teh teh ,Sio wewe juzi ulisema Nape sijui kahongwa nini BestbiteHuyu mzee fisadi kwa kujipa promo hajambo. Anapenda kweli kukaa na viongozi waadilifu na kupiganao picha ili na yeye aonekane ni msafi
Wasamehe sana hawa vijana, wao hushabikia mambo yanayohusu matumbo yao tu lakini penye maslahi ya taifa huwa wanakuwa kinyume