Lowassa, Sumaye wametumwa, Mbowe ni adui wa mabadiliko

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,961
48,764
Mi sio mwanachama wa chama chochote lakini kwa elimu yangu ndogo niliyo nayo nimeanza kuwa na mashaka na uwepo wa Lowassa CHADEMA. Baada ya kufatilia kauli zake nyingi nimegundua anaibadilisha taratibu CHADEMA kuwa kama CCM.
CHADEMA ni chama chenye wafuasi wenye nembo ya uaminifu,utiifu,ukweli na uwazi not double standard.

Kwa kauli hizi
1:Nachukia umasikini..

Hivi kweli ni nani hachukii umasikini awe Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mbowe wote wanauchukia umasikini hata mimi nauchukia umasikini kwahiyo kauli ile nilikuwa ni kauli dhaifu kabisa kuwashawishi watu wakupigie kura ingawa labda nyuma yake ulikuwa na lengo zuri.

2:CHADEMA ni chama cha wanaharakati:

Kitendo cha kusema CHADEMA ni chama cha uanaharakati ni kuwakatisha tamaa wanachama karibu robo tatu na wafuasi wao waliokuwa wanapigania mabadiliko ya kweli watu kama Lema,Sugu,Mnyika,Lissu unafikiri hii kauli wanaichukuliaje?

3:Uwezi pambana na wafanyabiashara;

Unaeza sema kwa maana nzuri lakini ukajikuta unaaribu maudhui na maana halisi ya unachokimaanisha hapa mi najua hakuna taasisi,watu mtu aliye juu ya sheria kila kitu inabidi kizibitiwe!!

4: Pigeni kura mimi nitazilinda;

Mimi nilisafiri kutoka masomoni nje na kuja nyumbani kumupigia kura kwakujua atazilinda kinyume chake akaja na sababu ya kuibiwa kura najua aliwakatisha tamaa mamilioni ya watanzania.

Ukweli mchungu najua kuna watu watakuja kunishambulia lakini nina uhakika kama CHADEMA wasingempokea Lowassa wangepata vitu zaidi vya ubunge na kingeimarika zaidi.

Kujiondoa kwa Dr slaa:
Dr slaa alitakiwa abaki CHADEMA kwa gharama yeyote kuliko kuondoka
Ni aibu kama Dr slaa asiye na chembe ya ufisadi kuondoka ndani ya chama alafu watu wakaja hapa na kusema hakuna athari? Nimekaa nikajifikiria hivi tulikuwa serious tunataka mabadiliko au tunatania?

Lowassa huyu aloyekataa katiba ya Warioba??
Lowassa huyu huyu tajiri Mwenye kilakitu duniani?

Lowassa huyu huyu ambaye wamekuwa na tuhuma kibao kama walivyo magamba wenzie waliobaki CCM? Lazima kama taifa tufike sehemu tukubali ukweli tuanze upya kwani kwanza upya kuna gharama gani?

Sio lazima Lowassa aondoke CHADEMA la hasha ila asipewe nafasi ya kuwa na nguvu kama wanavyotaka kufanya sasa kama anakifadhiri chama afanye kama mwanachama wa kawaida naamini CHADEMA bado ni chama cha upinzani chenye watu wengi na lakini ila ili kiendelee kuaminika lazima watu wenye makandokando kama Lowassa,Sumaye, na wengine wasipewe nguvu ndani ya chama.

NB;
Mtu ambaye CHADEMA ilimchukua kwa umakini ni Ester Bulaya tu.
Kiukweli tuanze upya tumeshindwa kupata mabadiliko tunayoyataka nina uhakika tukijipanga 2025 tunaweza kuwaangusha magamba lakini sio kwa kuwatumia Lowassa,Sumaye, masha, etc

Angalizo ndani ya UKAWA pia wamulikeni Sumaye, Mbatia, Lipumba kama akirudi na Zitto kama akirudi.

Nawasilisha!
 
Sasa kama huna chama si utulie kama katumwa au hajatumwa wewe inakuhusu nini? Fanya yako kama siku zote endelea kuvipa kisogo vyama vya siasa maanguko yao hayatakuathiri kwa kuwa haufungamani na upande wowote.
 
Hivi kwa MTU makini niwapi nimeongea uongo??
Umesema ukweli mtupu..walitudanganya wanafanya kampeni safi.ccm walimtukana sana Lowasa UKAWA hawakujibu mapigo kwa mgombea wa ccm kwa mantiki hiyo mliwaamisha wananchi mgombea wa ccm ni msafi...tunaona leo USA hata kabla ya kampeni kuanza tunaona personal attacks btw Trump vs Clinton
 
Umesema ukweli mtupu..walitudanganya wanafanya kampeni safi.ccm walimtukana sana Lowasa UKAWA hawakujibu mapigo kwa mgombea wa ccm kwa mantiki hiyo mliwaamisha wananchi mgombea wa ccm ni msafi...tunaona leo USA hata kabla ya kampeni kuanza tunaona personal attacks btw Trump vs Clinton
Tatizo watanzania wamezoea kutoambiwa ukweli ndo maana ukisema ukweli unaonekana adui
Unaweza ukawa mtu safi lakin ukinyamaza watu waanza kuwa na mashaka nawewe!!!
 
Fisadi lowassa limenunua chama na linauwezo wa kufanya litakavyo,hutaki kaa pembeni.
 
Mleta mada ningekushauli uongeze bidii ktk masomo yako walau umalize shule ya MSINGI ili ujue vitu vya maana vya kuandika vyenye tija.

Kama umemaliza shule na ndio umeandika hivi basi Tanzania tuna kazi kubwa ya kupambana na UJINGA.
Jibu hoja personal attack nawewe nitakuona shule yako aina faida
 
Sasa kama huna chama si utulie kama katumwa au hajatumwa wewe inakuhusu nini? Fanya yako kama siku zote endelea kuvipa kisogo vyama vya siasa maanguko yao hayatakuathiri kwa kuwa haufungamani na upande wowote.
Ndo maana nimesema tuanze upya sasa kuliko kuja kukumbuka shuka muda ushaenda!!
 
Mi sio mwanachama wa chama chochote lakini kwa elimu yangu ndogo niliyo nayo nimeanza kuwa na mashaka na uepo wa Lowassa CHADEMA

Baada ya kufatilia kauli zake nyingi nimegundua anaibadilisha taratibu CHADEMA kuwa kama CCM.

CHADEMA ni chama chenye wafuasi wenye nembo ya uaminifu,utiifu,ukweli na uwazi not double standard.

Kwa kauli hizi

1:Nauchukia umasikini;

Hivi kweli ninani achukii umasikini awe Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mbowe wote wanauchukia umasikini hata mimi nauchukia umasikini kwahiyo kauli ile nilikuwa ni kauli dhaifu kabisa kuwashawishi watu wakupigie kura ingawa labda nyuma yake ulikuwa na lengo zuri.

2:C HADEMA ni chama cha uanarakati:

Kitendo cha kusema CHADEMA ni chama cha uanaharakati ni kuwakatisha tamaa wanachama karibu robo tatu na wafuasi wao waliokuwa wanapigania mabadiliko ya kweli watu kama Lema,Sugu,Mnyika,Lissu unafikiri hii kauli wanaichukuliaje?

3:Uwezi pambana na wafanya biashara;

Unaeza sema kwa maana nzuri lakini ukajikuta unaaribu maudhui na maana halisi ya unachokimaanisha hapa mi najua hakuna taasisi,watu mtu aliye juu ya sheria kila kitu inabidi kizibitiwe!!

4:pPigeni kura mimi nitazilinda;

Mimi nilisafiri kutoka masomoni nje na kuja nyumbani kumupigia kura kwakujua atazilinda kinyume chake akaja na sababu ya kuibiwa kura najua aliwakatisha tamaa mamilioni ya watanzania.

Ukweli mchungu najua kuna watu watakuja kunishambulia lakini nina uhakika kama CHADEMA wasingempokea Lowassa wangepata vitu zaidi vya ubunge na kingeimarika zaidi.

Kujiondoa kwa Dr slaa:

Dr slaa alitakiwa abaki CHADEMA kwa gharama yeyote kuliko kuondoka
Ni aibu kama Dr slaa asiye na chembe ya ufisadi kuondoka ndani ya chama alafu watu wakaja hapa na kusema hakuna athari?

Nimekaa nikajifikiria hivi tulikuwa serious tunataka mabadiliko au tunatania?

Lowassa huyu aloyekataa katiba ya Warioba??
Lowassa huyu huyu tajiri Mwenye kilakitu duniani?

Lowassa huyu huyu ambaye wamekuwa na tuhuma kibao kama walivyo magamba wenzie waliobaki CCM?

Lazima kama taifa tufike sehemu tukubali ukweli tuanze upya kwani kwanza upya kuna gharama gani?

Sio lazima Lowassa aondoke CHADEMA la hasha ila asipewe nafasi ya kuwa na nguvu kama wanavyotaka kufanya sasa kama anakifadhiri chama afanye kama mwanachama wa kawaida naamini CHADEMA bado ni chama cha upinzani chenye watu wengi na lakini ila ili kiendelee kuaminika lazima watu wenye makandokando kama Lowassa,Sumaye, na wengine wasipewe nguvu ndani ya chama.

NB;
Mtu ambaye CHADEMA ilimchukua kwa umakini ni Ester Bulaya tu.

Kiukweli tuanze upya tumeshindwa kupata mabadiliko tunayoyataka nina uhakika tukijipanga 2025 tunaweza kuwaangusha magamba lakini sio kwa kuwatumia Lowassa,Sumaye, masha, etc

Angalizo ndani ya UKAWA pia wamulikeni Sumaye, Mbatia, Lipumba kama akirudi na Zitto kama akirudi.

Nawasilisha!
Umesema ukweli halafu umemgusa mtu wao tegemea matusi tu maana Watanzania ukiwambia ukweli lazima wakutukane.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom