Lowassa, Sumaye wametumwa, Mbowe ni adui wa mabadiliko

Una hoja lakini kuna baadhi ya nyaya za hasi na chanya zimegusana kichwa zinatoa cheche za unafiki. Ulitoka ighaibuni kuja kumpigia Lowassa kura bado unasema huna chama. Unashauri "tuanze upya" wewe na nani kama huna chama? Futa huo Uzi ujipange upya uurudishe ukisha U edit.
mwanzo nasoma nikajua utajibu hoja kumbe povu
 
Mi sio mwanachama wa chama chochote lakini kwa elimu yangu ndogo niliyo nayo nimeanza kuwa na mashaka na uwepo wa Lowassa CHADEMA. Baada ya kufatilia kauli zake nyingi nimegundua anaibadilisha taratibu CHADEMA kuwa kama CCM.
CHADEMA ni chama chenye wafuasi wenye nembo ya uaminifu,utiifu,ukweli na uwazi not double standard.

Kwa kauli hizi
1:Nauchukia umasikini;

Hivi kweli ni nani hachukii umasikini awe Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mbowe wote wanauchukia umasikini hata mimi nauchukia umasikini kwahiyo kauli ile nilikuwa ni kauli dhaifu kabisa kuwashawishi watu wakupigie kura ingawa labda nyuma yake ulikuwa na lengo zuri.

2:CHADEMA ni chama cha uanarakati:

Kitendo cha kusema CHADEMA ni chama cha uanaharakati ni kuwakatisha tamaa wanachama karibu robo tatu na wafuasi wao waliokuwa wanapigania mabadiliko ya kweli watu kama Lema,Sugu,Mnyika,Lissu unafikiri hii kauli wanaichukuliaje?

3:Uwezi pambana na wafanyabiashara;

Unaeza sema kwa maana nzuri lakini ukajikuta unaaribu maudhui na maana halisi ya unachokimaanisha hapa mi najua hakuna taasisi,watu mtu aliye juu ya sheria kila kitu inabidi kizibitiwe!!

4:pPigeni kura mimi nitazilinda;

Mimi nilisafiri kutoka masomoni nje na kuja nyumbani kumupigia kura kwakujua atazilinda kinyume chake akaja na sababu ya kuibiwa kura najua aliwakatisha tamaa mamilioni ya watanzania.

Ukweli mchungu najua kuna watu watakuja kunishambulia lakini nina uhakika kama CHADEMA wasingempokea Lowassa wangepata vitu zaidi vya ubunge na kingeimarika zaidi.

Kujiondoa kwa Dr slaa:
Dr slaa alitakiwa abaki CHADEMA kwa gharama yeyote kuliko kuondoka
Ni aibu kama Dr slaa asiye na chembe ya ufisadi kuondoka ndani ya chama alafu watu wakaja hapa na kusema hakuna athari? Nimekaa nikajifikiria hivi tulikuwa serious tunataka mabadiliko au tunatania?

Lowassa huyu aloyekataa katiba ya Warioba??
Lowassa huyu huyu tajiri Mwenye kilakitu duniani?

Lowassa huyu huyu ambaye wamekuwa na tuhuma kibao kama walivyo magamba wenzie waliobaki CCM? Lazima kama taifa tufike sehemu tukubali ukweli tuanze upya kwani kwanza upya kuna gharama gani?

Sio lazima Lowassa aondoke CHADEMA la hasha ila asipewe nafasi ya kuwa na nguvu kama wanavyotaka kufanya sasa kama anakifadhiri chama afanye kama mwanachama wa kawaida naamini CHADEMA bado ni chama cha upinzani chenye watu wengi na lakini ila ili kiendelee kuaminika lazima watu wenye makandokando kama Lowassa,Sumaye, na wengine wasipewe nguvu ndani ya chama.

NB;
Mtu ambaye CHADEMA ilimchukua kwa umakini ni Ester Bulaya tu.
Kiukweli tuanze upya tumeshindwa kupata mabadiliko tunayoyataka nina uhakika tukijipanga 2025 tunaweza kuwaangusha magamba lakini sio kwa kuwatumia Lowassa,Sumaye, masha, etc

Angalizo ndani ya UKAWA pia wamulikeni Sumaye, Mbatia, Lipumba kama akirudi na Zitto kama akirudi.

Nawasilisha!
U smell like them.......
 
Mi sio mwanachama wa chama chochote lakini kwa elimu yangu ndogo niliyo nayo nimeanza kuwa na mashaka na uwepo wa Lowassa CHADEMA. Baada ya kufatilia kauli zake nyingi nimegundua anaibadilisha taratibu CHADEMA kuwa kama CCM.
CHADEMA ni chama chenye wafuasi wenye nembo ya uaminifu,utiifu,ukweli na uwazi not double standard.

Kwa kauli hizi
1:Nauchukia umasikini;

Hivi kweli ni nani hachukii umasikini awe Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mbowe wote wanauchukia umasikini hata mimi nauchukia umasikini kwahiyo kauli ile nilikuwa ni kauli dhaifu kabisa kuwashawishi watu wakupigie kura ingawa labda nyuma yake ulikuwa na lengo zuri.

2:CHADEMA ni chama cha uanarakati:

Kitendo cha kusema CHADEMA ni chama cha uanaharakati ni kuwakatisha tamaa wanachama karibu robo tatu na wafuasi wao waliokuwa wanapigania mabadiliko ya kweli watu kama Lema,Sugu,Mnyika,Lissu unafikiri hii kauli wanaichukuliaje?

3:Uwezi pambana na wafanyabiashara;

Unaeza sema kwa maana nzuri lakini ukajikuta unaaribu maudhui na maana halisi ya unachokimaanisha hapa mi najua hakuna taasisi,watu mtu aliye juu ya sheria kila kitu inabidi kizibitiwe!!

4:pPigeni kura mimi nitazilinda;

Mimi nilisafiri kutoka masomoni nje na kuja nyumbani kumupigia kura kwakujua atazilinda kinyume chake akaja na sababu ya kuibiwa kura najua aliwakatisha tamaa mamilioni ya watanzania.

Ukweli mchungu najua kuna watu watakuja kunishambulia lakini nina uhakika kama CHADEMA wasingempokea Lowassa wangepata vitu zaidi vya ubunge na kingeimarika zaidi.

Kujiondoa kwa Dr slaa:
Dr slaa alitakiwa abaki CHADEMA kwa gharama yeyote kuliko kuondoka
Ni aibu kama Dr slaa asiye na chembe ya ufisadi kuondoka ndani ya chama alafu watu wakaja hapa na kusema hakuna athari? Nimekaa nikajifikiria hivi tulikuwa serious tunataka mabadiliko au tunatania?

Lowassa huyu aloyekataa katiba ya Warioba??
Lowassa huyu huyu tajiri Mwenye kilakitu duniani?

Lowassa huyu huyu ambaye wamekuwa na tuhuma kibao kama walivyo magamba wenzie waliobaki CCM? Lazima kama taifa tufike sehemu tukubali ukweli tuanze upya kwani kwanza upya kuna gharama gani?

Sio lazima Lowassa aondoke CHADEMA la hasha ila asipewe nafasi ya kuwa na nguvu kama wanavyotaka kufanya sasa kama anakifadhiri chama afanye kama mwanachama wa kawaida naamini CHADEMA bado ni chama cha upinzani chenye watu wengi na lakini ila ili kiendelee kuaminika lazima watu wenye makandokando kama Lowassa,Sumaye, na wengine wasipewe nguvu ndani ya chama.

NB;
Mtu ambaye CHADEMA ilimchukua kwa umakini ni Ester Bulaya tu.
Kiukweli tuanze upya tumeshindwa kupata mabadiliko tunayoyataka nina uhakika tukijipanga 2025 tunaweza kuwaangusha magamba lakini sio kwa kuwatumia Lowassa,Sumaye, masha, etc

Angalizo ndani ya UKAWA pia wamulikeni Sumaye, Mbatia, Lipumba kama akirudi na Zitto kama akirudi.

Nawasilisha!
MNAJIFARIJI KWA KUMKOSOA LOWASA KILA KUKICHA LAKINI BADO YUPO TU NA ANADUNDA VIZURI TU,,,,,CHADEMA IPI IMEKUFA WAKATI NDIOOOO INAWATESA CCCM HADI MNAISHIA KUFUNGUA KESI YA UMEYA
 
MNAJIFARIJI KWA KUMKOSOA LOWASA KILA KUKICHA LAKINI BADO YUPO TU NA ANADUNDA VIZURI TU,,,,,CHADEMA IPI IMEKUFA WAKATI NDIOOOO INAWATESA CCCM HADI MNAISHIA KUFUNGUA KESI YA UMEYA
Inawatesaje si ufunguke
 
Mi sio mwanachama wa chama chochote lakini kwa elimu yangu ndogo niliyo nayo nimeanza kuwa na mashaka na uwepo wa Lowassa CHADEMA. Baada ya kufatilia kauli zake nyingi nimegundua anaibadilisha taratibu CHADEMA kuwa kama CCM.
CHADEMA ni chama chenye wafuasi wenye nembo ya uaminifu,utiifu,ukweli na uwazi not double standard.

Kwa kauli hizi
1:Nauchukia umasikini;

Hivi kweli ni nani hachukii umasikini awe Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mbowe wote wanauchukia umasikini hata mimi nauchukia umasikini kwahiyo kauli ile nilikuwa ni kauli dhaifu kabisa kuwashawishi watu wakupigie kura ingawa labda nyuma yake ulikuwa na lengo zuri.

2:CHADEMA ni chama cha uanarakati:

Kitendo cha kusema CHADEMA ni chama cha uanaharakati ni kuwakatisha tamaa wanachama karibu robo tatu na wafuasi wao waliokuwa wanapigania mabadiliko ya kweli watu kama Lema,Sugu,Mnyika,Lissu unafikiri hii kauli wanaichukuliaje?

3:Uwezi pambana na wafanyabiashara;

Unaeza sema kwa maana nzuri lakini ukajikuta unaaribu maudhui na maana halisi ya unachokimaanisha hapa mi najua hakuna taasisi,watu mtu aliye juu ya sheria kila kitu inabidi kizibitiwe!!

4:pPigeni kura mimi nitazilinda;

Mimi nilisafiri kutoka masomoni nje na kuja nyumbani kumupigia kura kwakujua atazilinda kinyume chake akaja na sababu ya kuibiwa kura najua aliwakatisha tamaa mamilioni ya watanzania.

Ukweli mchungu najua kuna watu watakuja kunishambulia lakini nina uhakika kama CHADEMA wasingempokea Lowassa wangepata vitu zaidi vya ubunge na kingeimarika zaidi.

Kujiondoa kwa Dr slaa:
Dr slaa alitakiwa abaki CHADEMA kwa gharama yeyote kuliko kuondoka
Ni aibu kama Dr slaa asiye na chembe ya ufisadi kuondoka ndani ya chama alafu watu wakaja hapa na kusema hakuna athari? Nimekaa nikajifikiria hivi tulikuwa serious tunataka mabadiliko au tunatania?

Lowassa huyu aloyekataa katiba ya Warioba??
Lowassa huyu huyu tajiri Mwenye kilakitu duniani?

Lowassa huyu huyu ambaye wamekuwa na tuhuma kibao kama walivyo magamba wenzie waliobaki CCM? Lazima kama taifa tufike sehemu tukubali ukweli tuanze upya kwani kwanza upya kuna gharama gani?

Sio lazima Lowassa aondoke CHADEMA la hasha ila asipewe nafasi ya kuwa na nguvu kama wanavyotaka kufanya sasa kama anakifadhiri chama afanye kama mwanachama wa kawaida naamini CHADEMA bado ni chama cha upinzani chenye watu wengi na lakini ila ili kiendelee kuaminika lazima watu wenye makandokando kama Lowassa,Sumaye, na wengine wasipewe nguvu ndani ya chama.

NB;
Mtu ambaye CHADEMA ilimchukua kwa umakini ni Ester Bulaya tu.
Kiukweli tuanze upya tumeshindwa kupata mabadiliko tunayoyataka nina uhakika tukijipanga 2025 tunaweza kuwaangusha magamba lakini sio kwa kuwatumia Lowassa,Sumaye, masha, etc

Angalizo ndani ya UKAWA pia wamulikeni Sumaye, Mbatia, Lipumba kama akirudi na Zitto kama akirudi.

Nawasilisha!
Mhhh Ni uozo mtupu
 
El mlimuua kisiasa nae ka revenge kauua chama

Mnadhani alikua anafurahi mlivyokua mnammadi fisadi

Tit for tat
 
Hapa umewagusa, chadema ni chama cha malaika, hawakosei wala hawashauriwi, wamejitosheleza kwa kila kitu
 
1470106773251.jpg
 
Lowassa alipiga NO kupitisha rasimu ya ya Mzee Warioba!
CHADEMA sasa mtapigania katiba mpya ipi wakati mgombea wenu 2015 na likely 2020 alipiga kura ya hapana rasimu ya Warioba?

CHADEMA imepoteza dira!
Hapo ndipo pagumu kweli .......
Sijui katubu vip?
 
Back
Top Bottom