Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
baada kamati ya mzee mwiyi kuanza kazi yake, jana kwenye hoteli ya ngurudoto vigogo hawo wawli walikimbiana baada ya spika wa bunge samweli sitta kutotia miguu kweye hoteli hiyo, kamati hiyo ikaanza kuhaha huku na kula, ndipo muda si muda wakaamua kutoka na kauli moja na kumpigia simu ila walipo kuwa wanpiga simu ilikuwa haipatikana, ndipo lowassa akaanza kulongo huja jamaa kwani yeye ninani mpaka anaharibu apointment huu ni utovu wa nidhamu na haipendezi, upande wa sitta ambao walionekana dhahiri kutetea wakasema huwezi jua amekutwa nanini cha muhimu hapa tusubiri, ila ukweli ukadhihirika kuwas kamati hiyo ilikuwa na agenda ya kumbana sitta ndiyo maana hakutokea na mpaka majira ya saa nne usiku hakutokea ndipo kikao hicho kikafungwa, na baadhi ya makundi yakaanza kuondoka huku kundi la lowassa likielekea kwemye hoteli ya kibo palace inayo milikiwa na mramba