Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 680
Kwa hiyo pale Bagamoyo hiyo bandari inatakiwa kuserve nini cha ziada anbacho hakiwezekani kufanywa na bandari za Mtwara, Dar na Tanga zikiwekwa vema.
Kikwete anataka kila kitu kihamie Bagamoyo. Kuna ule mradi wa maendeleo pia aliurushia huko. Ikajengwa bara bara ya haraka ya Msata pia na kuacha bara bara kuu ya Dar morogoro ikijitengeneza matuta. Angeendelea kuwa Rais angetaka hata uwanja wa ndege wa KIA uhamishiwe Bagamoyo. Naunga mkono hoja ya Lowassa ya kuistopisha na kuwekeza zaidi Mtwara na Tanga.