Zagazaga
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 563
- 262
Umekiri vyema huo ni mradi wa hovyo kabisa... bila hata kujali majirani tulihitaji kuboreshaa bandari zetu tanga..dar mtwara kwa faida ya watu wetu kwanza...imagine mtu yuko mtwara an clear gari bandari ya dar..mwee shidaaRejea hoja ya mleta mada nimeandika hivyo kumjibu! Kuhusu bandari ya Bagamoyo hata mimi mwenyewe sioni umuhimu wake kwa sasa na siuelewi vizuri huu mradi kuhusu gharama zake ni nani atalipa? Kama ni mkopo masharti yake yakoje, na faida yake hasa ni nini ikilinganishwa kuwekeza fedha kwenye labda kwenye kuunganisha bandari ya Mtwara na Ziwa Nyasa (Mtwara corridor) mradi ambao ulibuniwa tangu enzi za Mkoloni Mjerumani ila alishindwa kuutekeleza kwa sababu ya muda na ukafufuliwa na Raisi Ben Mkapa lkn na yeye kushindwa kuukamilisha kwa sababu ya muda!
Hivyo kwa kifupi hata mimi sielewi mantiki ya hii Bandari (Bagamoyo) ni lazima niwe mkweli!