JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,007
Crimea,
..nimeku-tag ktk post yangu ya Oct 2015.
..tangu wakati huo nimesisitiza tuwe na hisa, na tulinde maslahi ya bandari ya Dsm.
..pia nilipendekeza suala la bomba la mafuta kwenda Uganda kwa ajili ya bandari ya Tanga.
..Kwa kweli JF ni kama kitabu cha HISTORIA.
NB.
..nimeshangaa kwamba hata wakati huo kulikuwa na hoja ya ukanda kwamba Bagamoyo Port inapingwa na watu wa KASKAZINI.
..nimeku-tag ktk post yangu ya Oct 2015.
..tangu wakati huo nimesisitiza tuwe na hisa, na tulinde maslahi ya bandari ya Dsm.
..pia nilipendekeza suala la bomba la mafuta kwenda Uganda kwa ajili ya bandari ya Tanga.
..Kwa kweli JF ni kama kitabu cha HISTORIA.
NB.
..nimeshangaa kwamba hata wakati huo kulikuwa na hoja ya ukanda kwamba Bagamoyo Port inapingwa na watu wa KASKAZINI.