Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Crimea,

..nimeku-tag ktk post yangu ya Oct 2015.

..tangu wakati huo nimesisitiza tuwe na hisa, na tulinde maslahi ya bandari ya Dsm.

..pia nilipendekeza suala la bomba la mafuta kwenda Uganda kwa ajili ya bandari ya Tanga.

..Kwa kweli JF ni kama kitabu cha HISTORIA.

NB.

..nimeshangaa kwamba hata wakati huo kulikuwa na hoja ya ukanda kwamba Bagamoyo Port inapingwa na watu wa KASKAZINI.
 
Crimea,

..nimeku-tag ktk post yangu ya Oct 2015.

..tangu wakati huo nimesisitiza tuwe na hisa, na tulinde maslahi ya bandari ya Dsm.

..pia nilipendekeza suala la bomba la mafuta kwenda Uganda kwa ajili ya bandari ya Tanga.

..Kwa kweli JF ni kama kitabu cha HISTORIA.

NB.

..nimeshangaa kwamba hata wakati huo kulikuwa na hoja ya ukanda kwamba Bagamoyo Port inapingwa na watu wa KASKAZINI.
Hongera kwa kusimamia unachoamini
 
Nilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Reli ya ukanda wa kaskazini inaanzia bandari ya Tanga hadi Burundi ikihudumia nchi za Kenya, Uganda, Rwana na Burundi.
Reli ya Ukanda wa kusini inaanzia Bandari ya mtwara hadi Congo ikihudumia nchi za Msumbiji, Malawi, Zimbabwe, Zambia na baadhi ya sehemu za Congo.
Reli inayoanzia Bandari ya DSM inahudumia njia ya kati hadi Congo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.


Comment za mdau Tokyo40 kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/kenyan-news/853909-kenya-the-standard-gauge-railway-takes-shape-2.html

Congratulations Kenya for building a new railway network.

Word of caution:
There is no such thing as Free Lunch. Kenya has borrowed 90% of the $3.8 billion from China Exim Bank to finance this project.

Haven't you guys learned from Angola?

China has lent Angola around $20 billion since a 27-year civil war ended in 2002.

They are borrowing another $25 billion from China and Brazil to fund the budget gap in 2015 due to low crude oil prices.

Repayments are often paid with oil or funds go directly to Chinese construction firms that have built roads, hospitals, houses and railways across the southern African country.

This means, however, dollars don't end up entering the real economy, increasing costs for ordinary Angolans.

There are around 50 Chinese state companies and 400 private companies operating in Angola alone.

I honestly hope that Kenyans will be able to repay the Chinese without sacrificing their future.

Wishing you all the best.

source:Bloomberg.com, Reuters.com



My concerns are two. Can Kenya afford to pay the debt? How much technology-transfer is Involved?

This is not about Kenya but Africa in general. Can Africa afford to borrow so heavily without even demanding transfer of technology?

Angola has an economy twice as big as Kenya and still struggling to pay her debts.

Kenya does not exactly have Singaporean efficiency and financial discipline. She can easily get trapped just like Angola.



Do not be so arrogant. We can all learn from Indonesians. They have awarded a $5 billion tender to the Chinese to build them a railway network this year. However, they have a clause in their contract which demands that they transfer their technology to them. The Chinese will also build a factory to manufacture components of the train in Indonesia. The construction will also involve local firms so that they can learn from their counterparts.

Their government turned down a much superior Japanese technology because the Japanese insisted the Indonesian government borrow money to finance the project and it was more expensive. The Chinese agreed to finance it privately.

Thanks to the Indonesian government's insistence of transfer of technology when she award tenders, today they are able to make small arms, car engines, military vehicles and even aviation spare parts in their country.

That is how they built a one billion dollar economy.

Only a fool will think that transfer of technology is not THAT important.

By the way, I never try to impress you or anyone else here with my knowledge. Please refrain from personal attacks, stick to facts and show some maturity.

source: jakartaglobe.beritasatu.com, Indonesia-investments.com
Leo unataka ijengwe?
 
Back
Top Bottom