Lowassa: Rais Magufuli havumiliki

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,982
144,308
New-Doc-2017-06-25_13-730x950.jpg
 
Kwa kauli hii, hivi kweli hawezi kuwa na Mkono Kibiti huyu Mpenda sifa na madaraka?
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
We acha kuongea usichokijua. Bila Intel iliyotulia, alichopanga Hugo Mpenda Madaraka kutufanyia Watz, hakuna mtu angepangua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom