Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Ulisema kosa lake halina Msamaha, leo kimetokea nini? Kuna sheria imekiukwa? Ni vizuri kuweka akiba ya manenoWewe na mtu wako wote ni machizi, kuhusu sheikh ponda hukumu yake ilikuwa imeshatayarishwa kabla ya hata magufuli hajaapishwa ila ilikuwa inaahirishwa kwa dharura tofauti hata wakati mwingine ilikuwa hakimu ana majukumu mengine n.k lakini issue ya babu seya ni tofauti kwani yeye alishahukumiwa siku nyingi na bahati mbaya kesi kama yake ya kubaka tena vitoto haina msamaha, lakini pia acha kupotosha kuwa alihukumiwa 2006 ukweli alihukumiwa 2004