Tume ndio iliyomtangaza.nyota za majini ila aliyepangwa kuwa Rais ni JPM na ndio maana kawa.
Bando la lowassa halichachi.Bado hajaacha tu maigizo...?
hao watu wa monduliwalikaa chini lini wakaamua?Wageni kutoka Jamhuri ya Kenya wakiongozwa na wabunge 13, Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya mchana wa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa nyumbani kwake kijijini Ngarash, jimbo la Monduli wakiongozana na vikundi mbalimbali vya Wajasiriamali kutoka Wilaya mbalimbali za Mikoa ya Arusha na Manyara.
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na waziri mkuu mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Edward Lowassa leo ameuambia ujumbe wa wabunge kutoka Kenya kuwa anamuunga mkono mgombea Urais ambaye pia ni Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
"Niseme hivi, sisi watu wa Monduli tumeamua kumuunga mkono Rais Kenyatta.
Tuko tayari kumsaidia pale wakati utakapofika, tunafanya hivyo kwa sababu tunampenda na yeye pia anatupenda. Tunaamini yeye pekee ndiye mtu sahihi ambae anaweza kuendeleza mshikamano na umoja uliopo baina ya mataifa yetu haya mawili"
Edward Lowassa
27 April 2017
Monduli, Arusha.
Cocochanel naona hata wewe unamkubali Lowassa kimoyomoyo!
Kivipi?
Kimoyomoyo
Mipango ya Mungu huwa ni lazima itokee hata iweje,mambo ya tume sijui kura ni formalities tuTume ndio iliyomtangaza.
ILA TBC ilipo mbeba magufuli ilikuwa sawa,viwavi ni viwavi tu mkiona post ya Lowassa mavi yanawabanandio maana mbowe mmachame mwenzie aliamua kumpa ugombea uraisi sasa naanza kuelewa kwa nini magazeti ya Mengi MA ITV walimbeba Sana Lowasa aiseee kumbe Lowasa mchaga alikulia umasaini eeeeeeee.Ndio maana hana tabia za kimasai Masai sio mafisadi wala tuhuma za ufisadi huwa hawana ufisadi si hulka ya wamasai.Lakini kama ni mchaga naweza amini aiseee
Kwahiyo ile list of shame ni ya uongo?? na walio iandaa na kuisaini hawafai tena?? au walikuwa matapeli??? toa majibu haraka saaanaaUfisadi wake unaweza kuutolea ushahidi ukiitwa mahakamani kweli? usiwe mtu wa kukurupuka kuropoka! Ulizaliwa mwaka gani? nahisi kama ni miaka baada ya uzazi wa mpango kuanza basi ni condom ilipasuka kwa bahati mbaya ndio maana upo duniani.
Chadema kuna mtafaruku mkubwa hivi chama Kama chama kilikaa kikao lini cha kutoa matamko Ya kumuunga mkono Kenyatta na kumtambua lowasa Kama mgombea uraisi 2020? Niwaonye chadema siasa za kenya ngumu Kama wamehama kambi ya odinga na kwenda kwa Kenyatta wajue wametangaza vita na wajaluo wote wa kenya na Tanzania chadema majimbo waliko wajaluo watayapoteza yote na pia wakienda kenya kampeni wawe makini na usalama waoNi vema kuonesha msimamo kama chama.Ila ikulu inamuunga mkono Raila
Post sent using JamiiForums mobile app
SIDHANI kama kuna TAMKO rasmi la rais Magufuli, ama Magufuli kama mtu binafsi la kumuunga mkono RAILA Odinga. Labda ni urafiki ndo waleta dhana.Ni vema kuonesha msimamo kama chama.Ila ikulu inamuunga mkono Raila
Post sent using JamiiForums mobile app
ukizungumzia Magufuli unazungumzia serikali na rais,,,,hakuna kitu kinachoitwa mtu binafsiSIDHANI kama kuna TAMKO rasmi la rais Magufuli, ama Magufuli kama mtu binafsi la kumuunga mkono RAILA Odinga. Labda ni urafiki ndo waleta dhana.