Wewe ndiye unapaswa ujibu kwakuwa unamtuhumu kuwa anadanganya!Hilo swali ulipaswa umuulize yeye fisadi Lowasa, anadanganya yeye ni Mmasai wkt ni Machame ili iweje?
Wewe ndiye unapaswa ujibu kwakuwa unamtuhumu kuwa anadanganya!Hilo swali ulipaswa umuulize yeye fisadi Lowasa, anadanganya yeye ni Mmasai wkt ni Machame ili iweje?
Cocochanel naona hata wewe unamkubali Lowassa kimoyomoyo!Sawa, ni furaha mtu akipata ugeni nyumbani kwake..
Mngerekodi basi tuisikie hiyo kwaya.
iwe lubuva au jecha,ilishaandikwa toka mbinguni JPM for Tanzania 2015-2025Kupangwa na Lubuva Kama alivyopanga Jecha zenj.
nyie ndo mnamponza huyo babu ajione anapendwa kumbe hamna kitu...FISADI bobeziMwanasiasa wa kimataifa ENL.....
Lowasa ana msaada gani, kama Kagera tu.. Alipeleka simenti tu, haizidi ata milion kumi na tano, gharama za safari zaidi ya milion Ishirini
Kama LOWASA anamwuunga mkono Kenyatta CHADEMA iko njiani kusambaratika.Sababu msimamo wa CHADEMA ulikuwa ni kumwuunga mkono Laila ODINGA na walikuwa wakimsaidia Raila kwa hali na mali.Tangazo la LOWASA ni wazi kuwa ni kutofautiana kabisa na msimamo wa CHADEMA.Wageni kutoka Jamhuri ya Kenya wakiongozwa na wabunge 13, Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya mchana wa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa nyumbani kwake kijijini Ngarash, jimbo la Monduli wakiongozana na vikundi mbalimbali vya Wajasiriamali kutoka Wilaya mbalimbali za Mikoa ya Arusha na Manyara.
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na waziri mkuu mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Edward Lowassa leo ameuambia ujumbe wa wabunge kutoka Kenya kuwa anamuunga mkono mgombea Urais ambaye pia ni Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
"Niseme hivi, sisi watu wa Monduli tumeamua kumuunga mkono Rais Kenyatta.
Tuko tayari kumsaidia pale wakati utakapofika, tunafanya hivyo kwa sababu tunampenda na yeye pia anatupenda. Tunaamini yeye pekee ndiye mtu sahihi ambae anaweza kuendeleza mshikamano na umoja uliopo baina ya mataifa yetu haya mawili"
Edward Lowassa
27 April 2017
Monduli, Arusha.
Hivi ni mimi peke yangu sijamuelewa huyu jamaa au?Wanaweka mikakati ya kuwabwaga akina Kenyatta uchaguzi ujao.Lowasa ndio mshauri mkuu wa vyama vya upinzani kenya. Hao wajasiriamali wameitwa ili watoe michango kusaidia upinzani kenya.ikumbukwe kuwa mikakati ya kuingoa CCM uchaguzi uliopita ilifanyika kenya na wakenya walichangia sana upinzani wa Tanzania ili ushinde kwa kuwapa pesa kwa vyombo vya habari vyao kumbeba lowasa na kwa kutoa mahelkopta yao kutumiwa na Chadema. Kenyatta na chama chako jiandae malaigwan wa kenya na Tanzania wanakutana kwa lowasa kukubwaga.Lowasa Ndio laigwani mkuu wa Africa mashariki hilo kenyatta nafikiri unalijua
Wageni kutoka Jamhuri ya Kenya wakiongozwa na wabunge 13, Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya mchana wa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa nyumbani kwake kijijini Ngarash, jimbo la Monduli wakiongozana na vikundi mbalimbali vya Wajasiriamali kutoka Wilaya mbalimbali za Mikoa ya Arusha na Manyara.
HAWA WATU WANATAFUTA KUSHINDWA UCHAGUZI MAPEMAAA! WANAKUJA KUOMBA USHAURI KWA MTU ALIYESHINDWA UCHAGUZI??????????
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na waziri mkuu mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Edward Lowassa leo ameuambia ujumbe wa wabunge kutoka Kenya kuwa anamuunga mkono mgombea Urais ambaye pia ni Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
"Niseme hivi, sisi watu wa Monduli tumeamua kumuunga mkono Rais Kenyatta.
Tuko tayari kumsaidia pale wakati utakapofika, tunafanya hivyo kwa sababu tunampenda na yeye pia anatupenda. Tunaamini yeye pekee ndiye mtu sahihi ambae anaweza kuendeleza mshikamano na umoja uliopo baina ya mataifa yetu haya mawili"
Edward Lowassa
27 April 2017
Monduli, Arusha.
Wageni kutoka Jamhuri ya Kenya wakiongozwa na wabunge 13, Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya mchana wa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa nyumbani kwake kijijini Ngarash, jimbo la Monduli wakiongozana na vikundi mbalimbali vya Wajasiriamali kutoka Wilaya mbalimbali za Mikoa ya Arusha na Manyara.
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na waziri mkuu mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Edward Lowassa leo ameuambia ujumbe wa wabunge kutoka Kenya kuwa anamuunga mkono mgombea Urais ambaye pia ni Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
"Niseme hivi, sisi watu wa Monduli tumeamua kumuunga mkono Rais Kenyatta.
Tuko tayari kumsaidia pale wakati utakapofika, tunafanya hivyo kwa sababu tunampenda na yeye pia anatupenda. Tunaamini yeye pekee ndiye mtu sahihi ambae anaweza kuendeleza mshikamano na umoja uliopo baina ya mataifa yetu haya mawili"
Edward Lowassa
27 April 2017
Monduli, Arusha.
Hata Wasanii wana Rais. Sikushangai labda unamaanisha hiloBig up rais
Chi zionjeMbona nyie mmenyamazishwa chama kizima kabaki sizonje tu
na lowasa atajibu zipiHivi mnahabari kama familia ya msoga haipendi kusikia Lowassa yu bukheri wa afya? Mnahabari Lowassa akiwa rais ile familia atabaki beki tatu na wengine watatokomea ila watarudishwa kujibu tuhuma za lugumi, escrow, lake oil,lake gas, gsm,
Sibora nyota ya kuiba nation cake na kula na wanawe na sisi tutapata hata makombo yanayo dondoka mezani kuliko chi zionje anaye hiflash nation cake kwenye toilet ili tuishi kama devoziiiNyota ya kuiba national cake?