britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Katika mazungumzo yangu na bwana Edward alieleza mengi yaliyojikita katika masuala niliyo uliza
1.uanachama wa chama cha mapinduzi unakoma pale unapofukuzwa au kujiuondoa na kukabidhi kadi ya chama cha mapinduzi lakin yeye hakufanya hivyo kadi yake namba 102 bado inasomeka kuwa active na imelipiwa uanachama mpaka miaka 25 ijayo,
Alipoulizwa kwani ni hakurejesha kadi akasema ni vema akawa na kumbu kumbu ya alivyokitumikia chama cha mapinduzi na inamkumbusha siasa safi aliyojifunza tokea akiwa chipukizi TANU
Akasema ni vigumu kutenganisha maisha yangu ya siasa na mafanikio niliovuna CCM,
Upande wake Dk wilbroad Peter Slaa naye kadi yake ina muda kwa uhai wa miaka 15 ijayo pamoja na.kwamba alitumikia chadema kwa muda mrefu,
Vivyo hivyo Lyatonga Mrema kadi yake ina isha muda wake mwaka 2019 imebakiza miaka miwili,
Kadi zote hizo zinasema active, najiuliza kwanini hasa hawajarudisha kadi hizo,
Hawa ni wanachama hai wa chama
cha mapinduzi
Mpaka mwandishi wa global publishers anahabarisha amejiridhisha kwa habari hii
Bado TANZANIA siasa ni kucheza na akili za watu,
1.uanachama wa chama cha mapinduzi unakoma pale unapofukuzwa au kujiuondoa na kukabidhi kadi ya chama cha mapinduzi lakin yeye hakufanya hivyo kadi yake namba 102 bado inasomeka kuwa active na imelipiwa uanachama mpaka miaka 25 ijayo,
Alipoulizwa kwani ni hakurejesha kadi akasema ni vema akawa na kumbu kumbu ya alivyokitumikia chama cha mapinduzi na inamkumbusha siasa safi aliyojifunza tokea akiwa chipukizi TANU
Akasema ni vigumu kutenganisha maisha yangu ya siasa na mafanikio niliovuna CCM,
Upande wake Dk wilbroad Peter Slaa naye kadi yake ina muda kwa uhai wa miaka 15 ijayo pamoja na.kwamba alitumikia chadema kwa muda mrefu,
Vivyo hivyo Lyatonga Mrema kadi yake ina isha muda wake mwaka 2019 imebakiza miaka miwili,
Kadi zote hizo zinasema active, najiuliza kwanini hasa hawajarudisha kadi hizo,
Hawa ni wanachama hai wa chama
cha mapinduzi
Mpaka mwandishi wa global publishers anahabarisha amejiridhisha kwa habari hii
Bado TANZANIA siasa ni kucheza na akili za watu,