YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Biblia kitabu cha Timotheo wa pili sura ya tatu na msitari wa kwanza hadi wa tisa inasema katika siku za mwisho kutakuwa na watu wabaya mno ambao wataenda motoni na katika hao watu wabaya kupindukia limo kundi LA watu wasio na shukrani kwa chochote walichofanyiwa na wengine.Lowasa kaamua asiwe MTU asiye Na shukrani na hataki kwenda motoni ndio maana anashukuru CCM kwenda motoni anawaachia wapagani akina Lisu, mbowe,Msigwa,lema,sugu ambao hawashukuru serikali ya CCM walau hata kwa posho za bunge na mashangingi wanayoendesha yatokanayo na kodi zilizokusanywa na serikali ya CCM.Lowasa kagoma kuwa mpagani.Mungu mbariki Lowasa kwa kuwa na shukrani alikolelewa.Lowassa ni PANDIKIZI, AMEENDA FOR A SPECIAL MISSION, the mission is almost complete.