Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,144
- 4,298
Nitapata mahindi ya NJANO (mahindi ya yanga) ya msaada, vipi wewe kwa upande wako utapata faida gani??ww nchi ikiwa na njaa unapata nn?
Nitapata mahindi ya NJANO (mahindi ya yanga) ya msaada, vipi wewe kwa upande wako utapata faida gani??ww nchi ikiwa na njaa unapata nn?
hakuna njaa..hivi wewe unaijua njaa au unasema tu sababu watu fulani wamesema .....njaa nenda somalia.nenda Ethiopia utajua kweli watu hao wana njaa.Sasa kama wamesema nchi haina njaa hayo mahindi wanayotaka kuyasambaza wanawapelekea ng'ombe kule Chato??
Mfungeni si mna jeshi,polisi,wanasheri,mahakimu,magereza yote yenu mkituimbia wimbo wa fisadi nyangumi au papa wakati uwezo wa kumkamata mnao watu wenye akili hawawezi kukuelewa labda wale kati 1.4 ukiwemo na wewe uliyeandikaMamvi ni fisadi nyangumi hata dunia inajua......hasafishiki hata kwa jik!
SafiiiiMfungeni si mna jeshi,polisi,wanasheri,mahakimu,magereza yote yenu mkituimbia wimbo wa fisadi nyangumi au papa wakati uwezo wa kumkamata mnao watu wenye akili hawawezi kukuelewa labda wale kati 1.4 ukiwemo na wewe uliyeandika
Eti ''Lowassa anaweza kubadili njano kuwa nyekundu''. Unachekesha kweli.
Kama anaweza kubadili njano kuwa nyekundu, mbona hakuweza kuingia Ikulu? Au njano kuwa nyekundu haziwezi kutumika kwenye kura ili aingie Ikulu.
Tanzania kuna vituko.
Huyu mtu ni muhimu sana kwa watanzania wa Leo...hasa katika uhitaji wa mabadiliko
Hivi kesi yake tarehe ngapi? Maana nilisikia mahakama imeanza kaziMamvi ni fisadi nyangumi hata dunia inajua......hasafishiki hata kwa jik!
Huyu mtu ni muhimu sana kwa watanzania wa Leo...hasa katika uhitaji wa mabadiliko
ahahahahahahaha saa hizi watu tungesha otesha mbegu mashambani,lowassa angekuwa raisi.ona sasa kwa huyu bwana mwingineHadi mvua lowasa alitaka kuleta ccm wakamtolea nje' huyu jamaa anatisha
Mkuu umejitahidi sana kutetea lakini nadhani umesahau kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha. hizo njaa za Somalia, Ethiopia hazikuanza kwa ghafla na kwa kukurupuka bali zilianza taratibu, pia naomba unisaidie tabia na sura ya nchi kwa nchi tajwa hapo juu kuwa zina hali gani ukilinganisha na nchi yetu. Kingine bila ya kusahau kuwa inabidi ujikune unapofikia kwani ukitumia mti utaumia kila mmoja anayasemea magumu kwa yale yaliyomkuta.hakuna njaa..hivi wewe unaijua njaa au unasema tu sababu watu fulani wamesema .....njaa nenda somalia.nenda Ethiopia utajua kweli watu hao wana njaa.
Ebu acheni siasa
Jamaa unaakili sana tena we mzalendo sana.Uzuri ni kwamba wapiga dili wote wamehamia jamii forums. Wanapata ahueni kwa kutoka hasira zao. Magufuli ameshasema habadiliki hatatoa mwanya wowote kwa wizi tena. Kila anayetumbuliwa anahamjlisha mashambulizi jamiiforums.
Magu kaza Uzi hivyo hivyo mwisho hata hela ya kununua MB itaisha. Kwa sasa bado wanamalizia zile walizoiba tra na kwingineko. Jamiiforums haina maana tena siku hizi hamna tena critical analysis Bali kutetea wahuni tu akina mbowe wanaiibia nhc.
Badilikeni jamani magu hatabadilika hata mpige kelele namna gani. Mlipiga kelele ya sukari akaisolve faster sasa hii ya njaa ikiisha sijui itakuwaje.
Mi naamini kabisa chadema na ukawa mjiandae kupokea makapi yaliyotumbuliwa. Uzuri wananchi wengi wanamkubali magu sema hawaji kupiga kelele humu
Wewe acha kuweweseka. Mbona mnasambaza Chakula ilhali hakuna njaa. Wewe hajabadili kitu. Msemajiukweli gani mwongo?Eti ''Lowassa anaweza kubadili njano kuwa nyekundu''. Unachekesha kweli.
Kama anaweza kubadili njano kuwa nyekundu, mbona hakuweza kuingia Ikulu? Au njano kuwa nyekundu haziwezi kutumika kwenye kura ili aingie Ikulu.
Tanzania kuna vituko.
Acha bangi wewe! Lowassa alete mabadiliko gani MTU alifukuzwa Uwaziri Mkuu! Alikuwepo zaidi ya miaka 30 Serikali hiyo mnayosema haijafanya kitu ( kama ni kweli haijafanya kitu). Yeye anagombea Urais kwa tamaa na malengo binafsi! Enyi Bavicha ni nani aliyewaloga? Mbona mnakuwa kama Wagalatia....????Huyu mtu ni muhimu sana kwa watanzania wa Leo...hasa katika uhitaji wa mabadiliko
We ukapimweakili.mara nying san namskia mwakyembe akisema mahakam ya mafisadi haina kes za kuskiliza sa kam lowasa fisad na dunia inajua kwann serikali yako haijamshitaki?Mamvi ni fisadi nyangumi hata dunia inajua......hasafishiki hata kwa jik!