Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Kama wewe si mwehu basi ni kichaa. Huoni tunavyombadilisha, tena kwa remote tunabadilisha channel tunavyotaka!!!Uzuri ni kwamba wapiga dili wote wamehamia jamii forums. Wanapata ahueni kwa kutoka hasira zao. Magufuli ameshasema habadiliki hatatoa mwanya wowote kwa wizi tena. Kila anayetumbuliwa anahamjlisha mashambulizi jamiiforums.
Magu kaza Uzi hivyo hivyo mwisho hata hela ya kununua MB itaisha. Kwa sasa bado wanamalizia zile walizoiba tra na kwingineko. Jamiiforums haina maana tena siku hizi hamna tena critical analysis Bali kutetea wahuni tu akina mbowe wanaiibia nhc.
Badilikeni jamani magu hatabadilika hata mpige kelele namna gani. Mlipiga kelele ya sukari akaisolve faster sasa hii ya njaa ikiisha sijui itakuwaje.
Mi naamini kabisa chadema na ukawa mjiandae kupokea makapi yaliyotumbuliwa. Uzuri wananchi wengi wanamkubali magu sema hawaji kupiga kelele humu