BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Ndugu wanajamii, katika viongozi watendaji Lowassa yupo.
Tuaangalie shule za kata; hii ilikuwa ni wazo la Lowassa ili watoto wetu wasome karibu na nyumbani, baada ya kuondoka shule hizo za kata hazikuendelea kabisa,majengo yanabomoka walimu hakuna alitilia mkazo sana....hizo pesa za richmond nafikiri alipeleka huko...
Huyu ni mtu ambaye jamii yake kubwa haijasoma na alikuwa anafanya kwa watanzania wote....huyu ndie kiongozi aliyekuwa na wazo na wazo lake likawa zuri ...sio Mungai aliyearibu mitaala ya shule zetu akafuta michezo na kuleta mtaala mbovu....
Lowassa alijiuzulu kwa kitu kinachoitwa ministerial responsibility na sio kwamba ilizibitika kaiba yeye, ndugu yetu karamagi kwani mnamsikia that was a real culprit, fungueni macho, bora anaeiba na kutumia na aliyewaibia kuliko yule anaekwenda marekani kuponda raha.
Tuaangalie shule za kata; hii ilikuwa ni wazo la Lowassa ili watoto wetu wasome karibu na nyumbani, baada ya kuondoka shule hizo za kata hazikuendelea kabisa,majengo yanabomoka walimu hakuna alitilia mkazo sana....hizo pesa za richmond nafikiri alipeleka huko...
Huyu ni mtu ambaye jamii yake kubwa haijasoma na alikuwa anafanya kwa watanzania wote....huyu ndie kiongozi aliyekuwa na wazo na wazo lake likawa zuri ...sio Mungai aliyearibu mitaala ya shule zetu akafuta michezo na kuleta mtaala mbovu....
Lowassa alijiuzulu kwa kitu kinachoitwa ministerial responsibility na sio kwamba ilizibitika kaiba yeye, ndugu yetu karamagi kwani mnamsikia that was a real culprit, fungueni macho, bora anaeiba na kutumia na aliyewaibia kuliko yule anaekwenda marekani kuponda raha.