Wadau Mh.Lowasa anakuja na kipaumbele cha Elimu Kwanza nazani pia atakuwa vipa umbele vingine .Ingawa hatujui anataka kuja na style gani mpya ya maboresho kwenye sekta hii ya Elimu maana katika utawala wa Mkapa ilianzishwa program ya MMEM(Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi) na MMES (Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari)ambao ulilenga kujenga shule za sekondari kila kata,maabara kwa kiwango fulani ilianza kuonyesha kufanikiwa hata hivyo awamu inayoisha haikuiendeleza kwa uzito unaostahiki program hizi
Sasa hebu tucheki baadhi ya vipaumbele vya Dr.Slaa kwa Watanzania:
Fursa kwa kila Mtanzania kupata elimu bora,
Fursa kwa kila Mtanzania kupata huduma bora za jamii,
Wajibu wa serikali kufanikisha Kilimo bora,
Fursa kwa kila Mtanzania kumiliki uchumi imara na shirikishi,
Wajibu na fursa kwa kila Mtanzania katika kupata uongozi bora na mfumo mpya wa utawala,
Fursa kwa kila Mtanzania kupata ajira na ujira bora.
Sasa hebu tucheki baadhi ya vipaumbele vya Dr.Slaa kwa Watanzania:
Fursa kwa kila Mtanzania kupata elimu bora,
Fursa kwa kila Mtanzania kupata huduma bora za jamii,
Wajibu wa serikali kufanikisha Kilimo bora,
Fursa kwa kila Mtanzania kumiliki uchumi imara na shirikishi,
Wajibu na fursa kwa kila Mtanzania katika kupata uongozi bora na mfumo mpya wa utawala,
Fursa kwa kila Mtanzania kupata ajira na ujira bora.