Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Baada ya kutulia chini na kuangalia mabadiliko yaliyofanyika najikuta sina jinsi isipokuwa kuamini ya kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba Lowassa ndiye nguvu kuu ya mabadiliko ya mawaziri, kiasi cha kuhakikisha walioupande wake wanarudi na waliokuwa ni watu wa karibu wanapata uwaziri kamili.
William Ngeleja (nasikia huyu familia zao zina uhusiano wa kindoa.. sijajua)
Lawrence Masha, Chenge na Msolla - wote wana connection na Lowassa
Watu aliogongana nao vichwa kama Diallo na Meghji wamewekwa pembeni.
Naomba tuangalie kidogo Mawaziri waliorudishwa na uhusiano wao na Lowassa.
William Ngeleja (nasikia huyu familia zao zina uhusiano wa kindoa.. sijajua)
Lawrence Masha, Chenge na Msolla - wote wana connection na Lowassa
Watu aliogongana nao vichwa kama Diallo na Meghji wamewekwa pembeni.
Naomba tuangalie kidogo Mawaziri waliorudishwa na uhusiano wao na Lowassa.