Waziri Mkuu aliyejiuzuru, EL amewasili Jijini Mbeya leo asubuhi tayari kwa kuendesha zoezi la harambee ya kuchangisha pesa kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wasichana ya Chuo kikuu cha Moravian TEKU. Aidha EL alikataa kufanya harambee hiyo ndani ya uwanja wa CCM wa kumbukumbu ya Sokoine kwa madai kuwa hataki kuhusisha ujio wake na chama. Kitu cha kushangaza, ni kuwa wakati anatua uwanja wa ndege, alilakiwa pamoja na viongozi wa kanisa, walikuwepo viongozi wa CCM mkoa na wilaya.
Naona kaka ndo anaanza tambo za kutambulika nyanda za juu kusini ktk safari ya kuelekea 2015.
Naona kaka ndo anaanza tambo za kutambulika nyanda za juu kusini ktk safari ya kuelekea 2015.