Facts1
JF-Expert Member
- Dec 23, 2009
- 307
- 28
Edward Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli mkoani Arusha ameunga mkono mchakato wa mabadiliko ya Katiba na akipendekeza ujadiliwe kwa upendo na amani.
Amesema kwa sasa jamii nzima inazungumzia umuhimu wa kufanya mabadiliko ya Katiba, na ni mjadala muhimu sana kwa uhai wa Taifa.
Amesema kwa sasa jamii nzima inazungumzia umuhimu wa kufanya mabadiliko ya Katiba, na ni mjadala muhimu sana kwa uhai wa Taifa.