lukatony
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 667
- 522
Ama kweli mbio unazokimbia kuelekea urais hakuna anayekufuata!!!!!
Tarehe 13/11/2011 nimeshitushwa kutangaziwa kwamba mheshimiwa Edward Ngoyay Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya harembee ya kanisa langu parokia ya Nundu-Mwanza.
Hakika umejipanga ila watanzania hatukutaki, amini!
Tarehe 13/11/2011 nimeshitushwa kutangaziwa kwamba mheshimiwa Edward Ngoyay Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya harembee ya kanisa langu parokia ya Nundu-Mwanza.
Hakika umejipanga ila watanzania hatukutaki, amini!