Kurudi upinzani sio issue , anatukanwa kwakua ni Kigeugeu...amewaumiza watu sana walio ccm na hata njeMembe ajifunze kwa Lowasa leo hii anavyotukanwa na wapinzani.
Chondechonde Membe usiende upinzani siku ukirudi CCM watakutukana kama anavyotukanwa Lowasa na vitoto vya graduate zero.
Ndo mana mimi sioni umuhimu wa Membe kwenda upinzani.kwa kuwa uchaguzi ukiisha atarudi CCM na mtamtukana kama Lowasa hivi sasa.Kurudi upinzani sio issue , anatukanwa kwakua ni Kigeugeu...amewaumiza watu sana walio ccm na hata nje
Lowassa huyu leo watu walikufa kwa ajili yake
watu vilema kwa ajili yake
watu wamefilisiwa kwa ajili yake...
Ndo mana mimi sioni umuhimu wa Membe kwenda upinzani.kwa kuwa uchaguzi ukiisha atarudi CCM na mtamtukana kama Lowasa hivi sasa.
Mwache tu alambe matapishi. Huyu mzee .wisho wake ni mbaya sana
By the way, I miss you so badly
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono!!!View attachment 1487688
Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !
labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .
Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Upinzani watamuwajibishaje!safi sana, kwahio unamaanisha upinzani walishindwa kumuajibisha lowasa na mkewe mpaka ameenda ccm ndo wamemuajibisha! mnakwama wapi cdm
Sumaye hana carier kama ya Edlow na Membe.japokuwa pia alitukanwa ila sio saana.Mbona Sumaye hatukanwi.......Lowassa ni tofauti kuna watu wengi wanateseka kwa kumuunga yeye mkono hasa ndani ya ccm ....heshima yake ilikuwa kuacha siasa tu na kubakia Mzee kama kina Cleopa Msuya .
Upinzani watamuwajibishaje!
Wenye uwezo huo ni DPP na TAKUKURU kwa njia ya kumshtaki mahakamani
Binafsi sijawahi kumuona.Hivi Lowassa aliwahi kuvaa magwanda ya Chadema au hata T shati yao?
Amandla...
Hata mimi nilikua na maoni hata kabla lowassa hajahama 2015 kuwa ingekua bora angebakia ccm ..isingebadilisha kitu Chadema wangeendelea na Slaa wao ...ila yeye angebaki na heshima yake na asingewagarimu wafuasi wake kupata mateso wanayopitiaSumaye hana carier kama ya Edlow na Membe.japokuwa pia alitukanwa ila sio saana.
Minachosema Membe akienda upinzani uchaguzi ukipita piga ua lazima atarudi home.sasa hapo ndo mabomba ya matusi yatakapo funguliwa.ni bora akubali yaishe.
All criminal cases zinafunguliwa na DPP na kuendeshwa na DPP hivyo watu binafsi kama wapinzani hawawezi kufungua kesi za jinai mahakamani.kama cdm mlikua mnajua hayo yote mmeshindwa kufungua kesi mahakamani bali mkaona sahihi ni agombee uraisi kupitia cdm! kweli mmefikia hapa?