Uchaguzi 2020 Lowassa na Mkewe wamdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais katika Uchaguzi wa Oktoba 2020

View attachment 1487688

Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !

labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .

Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Vijana wenye matongotongo ya siasa hamjui lolote
 
Membe ajifunze kwa Lowasa leo hii anavyotukanwa na wapinzani.
Chondechonde Membe usiende upinzani siku ukirudi CCM watakutukana kama anavyotukanwa Lowasa na vitoto vya graduate zero.
 
Naona sasa Maandalizi ya Kumpa Mama Lowassa Ubunge wa Kuteuliwa pamoja na Kuanza Kuteua Watoto wa Lowassa Serikalini yameshaanza.
 
Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake

Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.

Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Kweli!?
Na tulipo mpokea cdm alikuwa malaika?
Ebu usiwe na jazba, kawaulize Mbowe, Msigwa, Lisu, Sefu, Mshana Jr , tindo, n.k. waulize, je lowada fisadi? maana kuna uwezekano ndio umetiza miaka 18 so huu ndio uchaguzi wako wa kwanza.
 
View attachment 1487688

Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !

labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .

Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Waziri Mkuu wa zamani Ndugu Lowassa hajawahi kuwa Kamanda, in a sense ya kuvaa yale magwanda ya CHADEMA. Nioneshe popote au siku yoyote aliyo vaa hayo magwanda kiasi cha kuitwa Kamanda! HAKUNA!
 
View attachment 1487688

Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !

labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .

Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .

safi sana, kwahio unamaanisha upinzani walishindwa kumuajibisha lowasa na mkewe mpaka ameenda ccm ndo wamemuajibisha! mnakwama wapi cdm
 
Lowassa alihama chadema kwa shinikizo kwamba mkwe wake ataachiwa huru kama ataunga mkono juhudi

Namwonea huruma maana ameunga mkono juhudi na mkwe wake ndo kwanza anazifi kusotea rumande

Kwa kifupi majuto yake ni makubwa na hana jinsi zaidi ya kulamba miguu ya jiwe la mtoni
Ndo kadhamini sasa.
 
Mtende FISADI hana aibu na haachi asili yake ya uongo uongo na UNAFIKI.

Lowassa alihama chadema kwa shinikizo kwamba mkwe wake ataachiwa huru kama ataunga mkono juhudi

Namwonea huruma maana ameunga mkono juhudi na mkwe wake ndo kwanza anazifi kusotea rumande

Kwa kifupi majuto yake ni makubwa na hana jinsi zaidi ya kulamba miguu ya jiwe la mtoni
 
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020

Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho

Maagizo hao ni watumwa huru,wa mifumo mibovu waliyoiweka.
 
Back
Top Bottom