Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Hakina umuhimu ule wa awali.wala si tatizo , kwani nilichoandika kimefutwa ?
Kuna tofauti ya habari iliyopo ukurasa na 1 na ukurasa wa 15, karibia na habari za michezo.
Hakina umuhimu ule wa awali.wala si tatizo , kwani nilichoandika kimefutwa ?
Vijana wenye matongotongo ya siasa hamjui loloteView attachment 1487688
Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !
labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .
Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Lowasa tapeli papa....duh!! 2015 alitaka kututapeli kumbe? Bora alivyoshindwa
Kweli!?Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake
Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.
Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Waziri Mkuu wa zamani Ndugu Lowassa hajawahi kuwa Kamanda, in a sense ya kuvaa yale magwanda ya CHADEMA. Nioneshe popote au siku yoyote aliyo vaa hayo magwanda kiasi cha kuitwa Kamanda! HAKUNA!View attachment 1487688
Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !
labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .
Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Na alikuwa mgombea wa uraisi chadema na mlipiga deki barabara na kuzungusha mikono Kama feniNaona Lowasa Anakula Matapishi Yake
Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.
Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
View attachment 1487688
Kutoka kuwa kamanda hadi kulazimika kumdhamini mtu ambaye huamini falsafa yake ni jambo la kuhuzunisha mno !
labda Kwa faida ya wanajf na wengine wasiojua ni kwamba Mzee Lowassa ni miongoni mwa wengi waliosalimu amri baada ya kusomeshwa namba na utawala wa awamu ya 5 , Mpaka naandika haya Mkwe wake yuko selo kwa kesi ya kutakatisha pesa .
Natoa wito kwa watu wote kwamba ukishajiona wewe ni legelege usijaribu kushiriki siasa za upinzani , utajuta .
Ndo kadhamini sasa.Lowassa alihama chadema kwa shinikizo kwamba mkwe wake ataachiwa huru kama ataunga mkono juhudi
Namwonea huruma maana ameunga mkono juhudi na mkwe wake ndo kwanza anazifi kusotea rumande
Kwa kifupi majuto yake ni makubwa na hana jinsi zaidi ya kulamba miguu ya jiwe la mtoni
Mimi nafurahi alivyo wadekisha barabara. Wakati huo mlikuwa hamsikii la muadhini wala mpiga kengele.Naona Lowasa Anakula Matapishi Yake
Ukiwa Fisadi Na Jizi Nchi Hii Huwezi Kuwa Chama Tofauti Na Ccm.
Lowassa Alipohojiwa Na BBC alisema Magufuli Ni Dicteta Leo Anampangusa Miguu.
Imekuuma?Nayo imekuwa story?
Akawadekisha lamiHuyu Mzee alinifanya niwadharau sana sana sana Chadema kwa Kitendo cha wao kumsimamisha awe Mgombea wao 2015..
Lowassa alihama chadema kwa shinikizo kwamba mkwe wake ataachiwa huru kama ataunga mkono juhudi
Namwonea huruma maana ameunga mkono juhudi na mkwe wake ndo kwanza anazifi kusotea rumande
Kwa kifupi majuto yake ni makubwa na hana jinsi zaidi ya kulamba miguu ya jiwe la mtoni
Maagizo hao ni watumwa huru,wa mifumo mibovu waliyoiweka.Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa pamoja na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atete kiti cha Urais kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020
Ni miongoni mwa wana CCM waliojitokeza Wilayani Monduli, Arusha kudhamini Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM akiwa pia ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia Chama hicho
Mkampe fomu ya mwenyekiti atoe kopiVipi membe