Lowassa na Maalim Seif kumnadi mgombea wa ubunge jimbo la Dimani

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Maalim Seif na Lowassa kesho kupanda jukwaani kumnadi mgombea wa ubunge jimbo la Dimani, Zanzibar Abdulrazaq Ramadhan (CUF)

C1iwUUVWQAI64pt.jpg


=======

Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mh. Edward Ngoyai Lowasa, kesho ataambatana na aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Wananchi, CUF Maalim Seif Sharifu Hamad kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Dimani Zanzibar.

Makada hao kwa umoja wao, watamnadi mgombea ubunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya CUF. CHADEMA pia wametoa ratiba kamili ya kampeni hizo zenye mchuano mkali hasa baada ya CCM kuzindua kampeni zao juzi jimboni humo ambapo Ndg Abdulrahiman Kinana (comred) alikuwa mgeni rasmi.

Chanzo: MWANANCHI
 
Habari hapa ndani:

Waziri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mh. Edward Ngoyai Lowasa, kesho ataambatana na aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Wananchi, CUF Maalim Seif Sharifu Hamad kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Dimani Zanzibar.

Makada hao kwa umoja wao, watamnadi mgombea ubunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya CUF. CHADEMA pia wametoa ratiba kamili ya kampeni hizo zenye mchuano mkali hasa baada ya CCM kuzindua kampeni zao juzi jimboni humo ambapo Ndg Abdulrahiman Kinana (comred) alikuwa mgeni rasmi.

Chanzo: MWANANCHI
 

Attachments

  • 6.jpg
    6.jpg
    22.8 KB · Views: 61
Haya mashati meupe ya jirani yangu Ndg.Eddo sijui huwa anayatoa wapi?
 
Back
Top Bottom