Kama ni mabadiliko ni heri tuwape ACT wanaeleweka kuliko chagadema na fisadi wake ambaye hata kueleza atafanya nini hawezi/hana
and we are seeing how much is being done since then!People who talk less usually do much more........but people who talk more usually do less
Kweli Kabisa: Mabadiliko: Si Maneno!Tunataka mabadiliko, sio maneno.
Mhh Rais MC wa Harusi: What a Combination!naona nipo kwa mhubiri rithim yake ni ye wahubiri wa kilokole au mc wa harusi -kamzidi sana lowasa lowasa nirais
Porojo hatari kwa ujenzi wa nchiporojo ndio zimetufika hapa c tunataka utendaji
Nasikia, sina uhakika though hicho nilicho kisikia nina hisi kina ukweli kwa % kubwa sana, yaani zaidi ya 80% kwamba wanawake kwa siku 1 huongea zaidi ya maneno 25k wakati sisi wanaume ni maneno 6k tu.Huyu MAMA wa ACT amemzidi Lowassa kila kitu.
Hakika Lowassa umetuaibisha sana wanaume wa Tanzania.
Yani ulishindwa jaribu hata ongea kama huyu MAMA.??
Sad.