Tatizo siasa za Tanzania ni za kishabiki tu. Yaani kama kweli watu tusingekuwa wavivu wa kufikiri, huyu mama na chama chao cha ACT wako vizuri zaidi.
Huyo mama anagombea kutawala jukwaa. Lowassa anagombea kutawala nchi. Naomba ukumbuke hilo
Hotuba ndefu za nini sasa? Hotuba alishatoa Nyerere zinatosha kinachotakiwa sasa hivi ni vitendo sio hotuba ndefu.Huyu MAMA wa ACT amemzidi Lowassa kila kitu.
Hakika Lowassa umetuaibisha sana wanaume wa Tanzania.
Yani ulishindwa jaribu hata ongea kama huyu MAMA.??
Sad.
Huyu Mama anawin votes nyingi na kamuacha Lowa sa mbali mnòo.
Yani kama ni marks,
Anna 99.999%
Lowasa 0.25%
Hapa tunachotaka ni mabadiliko tu. Sasa hivi hata aje Yesu lakini kama atakuwa upande ambao hatuoni kupata mabadiliko tunayotaka basi hapewi kura.
Mkuu hebu tueleze wapo vizuri katika jambo lipi?
Kama ni mabadiliko ni heri tuwape ACT wanaeleweka kuliko chagadema na fisadi wake ambaye hata kueleza atafanya nini hawezi/hana
shame on him 1000000000000000000000000000000000000000000000000000000 times, wanawake tunaweza skuiz kuliko wanaume
Ni kweli ndio mana makonda amepew ukuu wa wilaya ila lowassa hafai ata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.kama kuongea ni uongozi mzuri basi makonda wote wangekuwa viongozi
Huyu MAMA wa ACT amemzidi Lowassa kila kitu.
Hakika Lowassa umetuaibisha sana wanaume wa Tanzania.
Yani ulishindwa jaribu hata ongea kama huyu MAMA.??
Sad.
Naye anazo kibao! Tena fresh!!Kama rekodi ni utendaji basi mchague Magufuli maana Lowasa rekodi yake ina kashfa kibao za Rushwa!
Hapa tunachotaka ni mabadiliko tu. Sasa hivi hata aje Yesu lakini kama atakuwa upande ambao hatuoni kupata mabadiliko tunayotaka basi hapewi kura.