Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,700
Waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya Richmond, anaendelea kuamini kuwa ishu haikuwa Richmond, tatizo ilikuwa uwaziri mkuu,
Mpaka sasa nimegundua lowassa si mkweli pitia kauli Zake TATU
1. Richmond ni ya wakubwa niliambiwa nisaini tu, ni maagizo toka juu
2. Richmond iko safi si unaona hata ambayo kitambo ilisifiwa Na Obama Na Hilary,
3. Tatizo halikuwa Richmond walitaka niachie uwaziri mkuu TU, wala Richmond haina makosa
Hizo kauli alizotoa nyakati tofauti tofauti inaonesha uongo si rahis kuukumbuka,
Katika mahojiano hapa chini Ione video,
Mpaka sasa nimegundua lowassa si mkweli pitia kauli Zake TATU
1. Richmond ni ya wakubwa niliambiwa nisaini tu, ni maagizo toka juu
2. Richmond iko safi si unaona hata ambayo kitambo ilisifiwa Na Obama Na Hilary,
3. Tatizo halikuwa Richmond walitaka niachie uwaziri mkuu TU, wala Richmond haina makosa
Hizo kauli alizotoa nyakati tofauti tofauti inaonesha uongo si rahis kuukumbuka,
Katika mahojiano hapa chini Ione video,