Chromium
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 589
- 185
hata bila mnada bei yake iko wazi,maadili gazetini katika maisha halisi hana lolote,kamualika shoo ambaye anajulikana wazi,aliwazidi ujanja mpaka wakaua kampuni
Unajua nimemwona Shoo nikakumbuka enzi za Salva na Rai miaka ya mwanzoni mwa 2000. Mbwambo is simply a loser. Anadhani maadili ni kuandika.