Lowassa Kwenda Ikulu Kumpongeza Magufuli, Kilichofanya Kuwa Big News, ni Lowassa na Sio Rais Magufuli!, Why?-Jicho Letu

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,179
Wanabodi,

Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel Bulendu.

Habari kubwa wiki hii, ni mkutano wa Edward Lowassa na rais John Pombe Magufuli. Waalikwa ni waandishi wa habari, Denis Ngonyani na Yohani hoja hapa ni kwa nini mkutano ilikuwa a big news!, aliyesababisha iwe ni Big News sio Rais Magufuli Bali ni Edward Lowassa, kwa nini?.

Mjadala unahusi ni nini haswa kilichofanya ziara ya Lowassa kwenda ikulu kumpongeza rais Magufuli kuwa big news, nini kilichosababisha habari hii kuwa big news na kutawala kurasa za mbele za magazeti yote with big headlines, jee ni kwa sababu Rais Magufuli ni Big Name?, jibu ni hapani, kilichofanya habari hii kuwa kubwa na kuattract big headlines ni Edward Lowassa na sio rais Magufuli, kwa kitendo cha mpinzani Mkuu wa rais Magufuli aliyepinga matokeo ya urais na kudai hautambui ushindi wa Magufuli, kwa hoja mshindi halali ni yeye Lowassa, lakini mwisho wa siku, mtu huyu huyu aliyelalamika bila kuyafuta malalamiko yake, akaibukia Ikulu kumpongeza rais Magufuli, this is big news!.

Kilichoipa nguvu Zaidi ziara hiyo ni kile kilichozungumzwa na wote wawili, Lowassa akimpongeza Magufuli, badala ya kulalamikia uminywaji wa demokrasia na ukanyagwaji wa katiba, yeye Lowassa kaona mazuri tuu ya Magufuli na kumpongeza, this was a big news!.

Kitendo cha rais Magufuli kumsifia Edward Lowassa kuwa ni kiongozi safi, wakati alikuwa akituhumiwa kwa ufisadi wa Richmond, hivyo Magufuli kumsafisha Lowassa, this pia is Big News.

Hoja za msingi sasa tujadili jee kitendo kile. was it a was it a good move, was it a right move?, maneno yaliyotamkwa na pande zote ni kauli ya kujenga au kubomoa?.

Endelea kufuatilia

Paskali
 
Wanabodi,

Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel Bulendu.

Habari kubwa wiki hii, ni mkutano wa Edward Lowassa na rais John Pombe Magufuli. Waalikwa ni waandishi wa habari, Denis Ngonyani na Yohani hoja hapa ni kwa nini mkutano ilikuwa a big news!, aliyesababisha iwe ni Big News sio Rais Magufuli Bali ni Edward Lowassa, kwa nini?.

Endelea kufuatilia

Paskali
Waliofanya big news ni Chadema sio CCM kwa sababu walihisi kuwa kampelekea mafaili ya siri na flash yenye siri zote za Chadema. Aliyepewa haikuwa issue issue ilikuwa aliyepeleka
 
Wanabodi,

Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel Bulendu.

Habari kubwa wiki hii, ni mkutano wa Edward Lowassa na rais John Pombe Magufuli. Waalikwa ni waandishi wa habari, Denis Ngonyani na Yohani hoja hapa ni kwa nini mkutano ilikuwa a big news!, aliyesababisha iwe ni Big News sio Rais Magufuli Bali ni Edward Lowassa, kwa nini?.

Endelea kufuatilia

Paskali

Una Ubia na Dotto Bulendu juu ya Uendeshaji wa hicho Kipindi Kamarada wangu?
 
Kilicholeta issue ni namna Lowassa alivomkubali mazima JPM.

Ikumbukwe kauli ya kutomtambua JPM na kususia susia baadhi ya mikutano ya JPM huko awali.

CDM haijawahi kuitisha press na kusema tunamtambua JPM kama Rais wetu.

EL Fanya Kazi yako Walikuchafua Wenyewe, Wakakuchukua na madodoki wamekusafisha na sasa amua mwenyewe future yako

Hahahahahaha
 
katibu_wa_wambea-1515576456323.jpg


katibu_wa_wambea-1515576443661.jpg


Kwa picha hizi ulitegemea nini!!!!!!!

Hadi Michuzi meno yaleeeeee kwa furaha..
 
Kama Waziri mkuu aliyejiuzuru na mgombea urais katika uchaguzi mkuu uliopita ndugu Lowasa anaweza kutumia 'Mara Nyingi' (labda zaidi ya mwaka) kuomba kuonana na Magufuli ili kujadiliana kuhusu mustakabali wa nchi na mambo yanavyo kwenda lakini bila mafanikio mpaka pale alipoamua yeye tena kwa kuwatumia akina Gambo watangaze kwanza kuwa Lowasa anawabembeleza akiomba kukutana na rais. Lakini ikachukua siku 11 hadi 12 tu kwa wafungwa walioachiwa huru kwa kosa la kulawiti watoto, Babu Seya and The Gang kuomba kwa ombi la mara moja kukutana na rais na kufanikiwa kuonana naye.
Mpaka hapo kama una akili timamu utagundua hiyo nchi ni yenye viongozi wa aina gani na inastahili nafasi gani in return.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom