Juma Hamis
Member
- Mar 15, 2012
- 60
- 9
Katika hali ya kawada naomba nitume rai yangu kwa viongozi wetu wa chadema kuacha mara moja mazungumzo ya siri waliyonayo na lowasa,kwani watanzania hawatakielewa chama chao wanachokipenda (cdm),lowasa amewaomba viongozi wa chadema wakubali kumsafisha katika kashifa mbalimbali za ufisadi na rushwa zinazomkabili.
Suala la ufisadi sasa viongozi wetu wa cdm mmeanza kuliona la kawaida na kushindwa kulielezea kwa kina namna linavyolimaliza taifa letu,kwani bado mirija wa mafisadi ipo wazi wazi lakini humliongelei arumeru au mnasubili mazungumzo yenu na lowasa yakwame ndio tena muwe na nguvu za kuchukizwa na ufisadi.
Kumbukeni lowasa akiingia madarakani ataua upizani kwani si mtu anayependa kupewa changamoto na washindani wake wa kisiasa,lakini pia watanzania wana nia ya kuwa na viongozi safi na serikali safi,tafadhali sana tunataka kuona serikali ya cdm madarakani na si serikali ya mseto anayoiahidi lowasa,kama yeye ana nia ya dhati basi aende akagombee ubunge monduli halafu asubilie kuja kuisaidia cdm na si cdm imsaidie kuingia madarakani kwa nkisingizio cha serikali ya mseto.je akiwasaliti mtawaeleza nini watanzania kama si chama kutoaminiwa wa wananchi walio na imani na cdm.
Suala la ufisadi sasa viongozi wetu wa cdm mmeanza kuliona la kawaida na kushindwa kulielezea kwa kina namna linavyolimaliza taifa letu,kwani bado mirija wa mafisadi ipo wazi wazi lakini humliongelei arumeru au mnasubili mazungumzo yenu na lowasa yakwame ndio tena muwe na nguvu za kuchukizwa na ufisadi.
Kumbukeni lowasa akiingia madarakani ataua upizani kwani si mtu anayependa kupewa changamoto na washindani wake wa kisiasa,lakini pia watanzania wana nia ya kuwa na viongozi safi na serikali safi,tafadhali sana tunataka kuona serikali ya cdm madarakani na si serikali ya mseto anayoiahidi lowasa,kama yeye ana nia ya dhati basi aende akagombee ubunge monduli halafu asubilie kuja kuisaidia cdm na si cdm imsaidie kuingia madarakani kwa nkisingizio cha serikali ya mseto.je akiwasaliti mtawaeleza nini watanzania kama si chama kutoaminiwa wa wananchi walio na imani na cdm.