Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika wa bunge lipi? Kama la bongo asahau, kwanza aestablish kama atashinda ubunge au asuburi ubunge wa kuteuliwa au viti maalum vya walioshindwa!Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
Nyie wapambe wa Lowasa kwanini msimshauri atulie na kufanya biashara na hela za mavuno ya wizi alizoibia wavuja jasho wa nchi hii, siyo kila siku Lowasa Lowasa !!!!Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
inawezekana ikawa mpya, mkuu. tuwekee link tuioneHabari mbona ya zamani hii; au ikizungushwa siku tofauti inakuwa mpya?
hawezi kutulia yule hadi aondoke na mtu. kwa bahati mbaya au nzuri sina ubia wowote na huyu mheshimiwaNyie wapambe wa Lowasa kwanini msimshauri atulie na kufanya biashara na hela za mavuno ya wizi alizoibia wavuja jasho wa nchi hii, siyo kila siku Lowasa Lowasa !!!!
kimsingi urais hawezi kuupata kwa njia yoyote ile. sasa anaona akamate bunge maana ndilo lenye nguvu nyingiMmm, si kwamba atakuwa ameshusha malengo kwa mtu anayesemekana kuwa mbioni kuwania u-Rais? Au kauli ya mnajimu imemkuna. Manake TZ, uspika sioni ukiheshimiwa sana kama ilivyo kwa nchi nyingine.
bunge hilihili la bongo ulijualo ambalo pinda anasema analijua nje ndaniSpika wa bunge lipi? Kama la bongo asahau, kwanza aestablish kama atashinda ubunge au asuburi ubunge wa kuteuliwa au viti maalum vya walioshindwa!
Kwa uthubutu wake, asingekuwea kinara wa ufisadi na mpenda pesa kuliko kawaida, yaani kama angekuwa upande wa wananchi angefaa sana kuwa spika. Kwani ninahakika hayo marichmondi, EPA, BUZWAGI, yangekuwa hayamuhusu, bunge lingewaka moto! ila looooo, yeye ndo injinia ndo hatari ilipo, na ikitokea akawa spika basi arobaini ya nchi TANZANIA itakuwa imetimia.
Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni
Jamani tetesi zisizokuwa na source ni majungu tuu. Uchaguzi ni October 2010 haijulikani wangapi watatoka na wangapi wapya wataingia na hata huyo spika mtarajiwa hajasema kitu. Hivi kwanini tunakuwa hivi??? mara anataka kugombea urahisi mara kwao amepata mpinzani jamani ninwaomba hili jamvi letu liendelee kuwa na hadhi stahili basi leteni vitu vilivyopikwa vizuri kwani humu ndani we dare to speak without fear. MODE UKO WAPI???Mh hizi kweli ni tetesi manake unaangalia tu hali halisi yaani toka uPM mpaka Spika kweli Tetesi!
lini umesikia kuwa tetesi hazitumiki kujengea hoja? mjue tetesi si majungu bali ni habari fulani zilizofichika. katika finance kuna kitu tunaita insider trade. hizi ni tetesi muhim sana kwa wanahisa, so tuwe pamoja hapoJamani tetesi zisizokuwa na source ni majungu tuu. Uchaguzi ni October 2010 haijulikani wangapi watatoka na wangapi wapya wataingia na hata huyo spika mtarajiwa hajasema kitu. Hivi kwanini tunakuwa hivi??? mara anataka kugombea urahisi mara kwao amepata mpinzani jamani ninwaomba hili jamvi letu liendelee kuwa na hadhi stahili basi leteni vitu vilivyopikwa vizuri kwani humu ndani we dare to speak without fear. MODE UKO WAPI???
people make issues, mkuuPlease Kingi give me a break!!!! you can come with something better than this... hii biashara ya kuzunguka watu badala ya issues inakera sasa
Busara za kuongozea bunge amepata wapi?
Kama kweli itafikia wakati akahitajika Spika nafikiri Lowasa si mzuri sana maana yeye hajui na hawezi kufuata sheria.
Halafu kwa utendaji kazi wake wabunge wanaweza kujikuta pabaya kwa kupigwa makonde na kusimamishwa ubunge pale watakapotofautia naye.
Ningependekeza spika awe Chenge, huyu ni mwanasheria mahili na anautulivu sana pale anapochangia jambo la msingi.
Lakini suala linabaki "Je ni mwadirifu? Je ni lazima Spika awe Mwadirifu?
Hizi ni habari za chini ya bahari, maana chini ya zulia haziwezi kupatikana na haiwezekani ni kashfa kwa taifa hiyo.Kuna habari za chini ya zulia kuwa lowasa anatarajiwa kugombea uspika dhidi ya sitta. Kama hii itakuwa kweli basi kazi ipo maana ana nguvu pale bungeni