bitabo mkuu,
nilichokisema nakiamini na nakijua kwa sababu mimi ni mnyakyusa wa kyela,
ulizia habari ya nyerere na kawawa, huko kyela walifanyiwa nini?
Pesa ina sehemu yake, but ujasiri wa hawa watu ni tofauti! Najua ninachokisema
mwache bitabo utamaliza utamu tusubiri hiyo april halafu tukutane hapa,naomba bitabo uje uanzishe thread