Lowassa kuwa mgeni rasmi harambe kanisa la KKKT Singida

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu aliyepima mwenyewe akafadhaika akaona kuwa inafaa aachie ngazi, atakuwa tena Mgeni Rasmi katika harambee ya kuchangia kumalizia Ujenzi wa Kanisa la Usharika wa amani lililopo sabasaba Mjini singida, tarehe 27/11/2011. Viongozi wa Kanisa naomba kujua msimamo wenu. UFISADI MBAYA LAKINI PESA YA FISADI TAMUUUUU........... MWANAFALSAFA NASEMA "TUMBO LENYE NJAA HALIJUI SHERIA"

Kwa nini wasimualike TUNDU LISSU???????????????
 
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu aliyepima mwenyewe akafadhaika akaona kuwa inafaa aachie ngazi, atakuwa tena Mgeni Rasmi katika harambee ya kuchangia kumalizia Ujenzi wa Kanisa la Usharika wa amani lililopo sabasaba Mjini singida, tarehe 27/11/2011. Viongozi wa Kanisa naomba kujua msimamo wenu. UFISADI MBAYA LAKINI PESA YA FISADI TAMUUUUU........... MWANAFALSAFA NASEMA "TUMBO LENYE NJAA HALIJUI SHERIA"

And here is thus why i love and am devoted to CATHOLIC church there z no such upumbavu ya kuwanyenyekea mafisadi.
 
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu aliyepima mwenyewe akafadhaika akaona kuwa inafaa aachie ngazi, atakuwa tena Mgeni Rasmi katika harambee ya kuchangia kumalizia Ujenzi wa Kanisa la Usharika wa amani lililopo sabasaba Mjini singida, tarehe 27/11/2011. Viongozi wa Kanisa naomba kujua msimamo wenu. UFISADI MBAYA LAKINI PESA YA FISADI TAMUUUUU........... MWANAFALSAFA NASEMA "TUMBO LENYE NJAA HALIJUI SHERIA"

Baniani mbaya kiatu chake dawa
 
mheshimiwa Lowassa anaendeleza harakati zake makanisani na leo yupo kwenye kanisa la KKKT Mkoani Singida nimepata taarifa kwamba tofauti na ilivyozoeleka kanisa hilo leo lipo full nyomi hakuna hata sehemu ya kuhamishia mguu yaaoi tunasema limetapika hivi hizi siasa za makanisani lowassa lengo lake nini?
 
mheshimiwa Lowassa anaendeleza harakati zake makanisani na leo yupo kwenye kanisa la KKKT Mkoani Singida nimepata taarifa kwamba tofauti na ilivyozoeleka kanisa hilo leo lipo full nyomi hakuna hata sehemu ya kuhamishia mguu yaaoi tunasema limetapika hivi hizi siasa za makanisani lowassa lengo lake nini?

Umepata taarifa toka wapi na mahudhurio siku zingine huwa yakoje na yuko kanisa lipi hilo la kkkt huko singida, kifupi weka source ya habari yako tuchangie kwa uhakika mkuu
 
mheshimiwa Lowassa anaendeleza harakati zake makanisani na leo yupo kwenye kanisa la KKKT Mkoani Singida nimepata taarifa kwamba tofauti na ilivyozoeleka kanisa hilo leo lipo full nyomi hakuna hata sehemu ya kuhamishia mguu yaaoi tunasema limetapika hivi hizi siasa za makanisani lowassa lengo lake nini?

Huwa nawaeleza wanajf kuwa kwa sisi tunaozunguka vijijini kufunga solar panel tunaelezwa kuwa Mh Lowasa bado watu wanamkubali sana tofauti na sisi wachache tufikiliavyo humu ndani(jf)

ktk vijiji na miji niliyozunguka bado baadhi ya watu wanmwona Mh Lowasa ni kama kiongozi aliyejotoa mhanga kukinusuru chama chake na serikali,hivyo wanamkubari kuwa ni mvumilivu na anastahili kuendelea kupewa madaraka

Bado naendelea kuamini kuwa ikipigwa kura leo juu ya uraisi wa 2015,Mh Lowasa anaweza akachukua nchi

ktk vijiji nilivyopita watu wengi wananieleza kuwa walichukizwa sana na ile kauli iliyotelewa na Mh mmoja kuwa ana Vijisent tu,hii kauli nimeipata kwa wanavijiji wa
magole
lumuma.
gairo,
kihelezi
kidogobasi,
.luwangwa
.mkindo
,luhombero
,dabaga
,chunya,
msunjilile
na banyibanyi
huko nilikwenda kufunga solar panel na niliwauliza wanakijiji juu ya mambo mengi ya kisiasa

Mh Lowasa anaweza kama akipata nafasi
 
kwani kanisani anafanya nini jamani
tukumbuke kuwa yeye ni Mkristo kuhudhuria kanisani ni wajibu wake kulingana na imani yake alafu tujue kuwa Mungu ni tofauti sana na sisi wanadamu tunavyo waza maana tunaweza tukaendelea kumuhesabia makosa EL kumbe yeye alisha tubu na kusamehewa siku nyingi na Mungu wake

Nadhani kama tuna kumbuka huko nyuma wakati hizi tuhuma za ufisadi ndiyo zianza alialikwa kanisa fulani DAR ( silikumbuki jina ) akatoa mchango wake baadaye viongozi wakuu wa kanisa wakaja juu na kusema kama ni huo mchango wake arejeshewe

Kwa kipindi hiki tujiulize kwa nini makanisa mengi yanamualika sana EL kwenye matamasha yao ( Je, yanapenda pesa tu?, Anakubalika kwa sasa na jamii yote kiasi kwamba ana mvuto kwa jamii hivyo pesa hukusanywa kirahisi? )

Please we have to think and rethink " WHY???????????"
 
mheshimiwa Lowassa anaendeleza harakati zake makanisani na leo yupo kwenye kanisa la KKKT Mkoani Singida nimepata taarifa kwamba tofauti na ilivyozoeleka kanisa hilo leo lipo full nyomi hakuna hata sehemu ya kuhamishia mguu yaaoi tunasema limetapika hivi hizi siasa za makanisani lowassa lengo lake nini?

When Action (mass*velocity)= Reaction (mass*velocity), Resultant is 0.
Ni kupitia njia hii Lowasa anarudisha rasilimali alizowaibia wananchi tangu mwaka 1992 kupitia nafasi zake za uwaziri; ardhi ma maendeleo ya mijini/makazi, maji na mifugo, waziri mkuu, vodacom (Milambo+Alfatel+Shivacom).
Akimaliza jukumu hili na baadaye kutubu hadharani kuwa aliwahi kuibia umma, wananchi wananweza kuamua kumsamehe hatimaye aweze kuwa raia mwema. :lol:
 
Huwa nawaeleza wanajf kuwa kwa sisi tunaozunguka vijijini kufunga solar panel tunaelezwa kuwa Mh Lowasa bado watu wanamkubali sana tofauti na sisi wachache tufikiliavyo humu ndani(jf)

ktk vijiji na miji niliyozunguka bado baadhi ya watu wanmwona Mh Lowasa ni kama kiongozi aliyejotoa mhanga kukinusuru chama chake na serikali,hivyo wanamkubari kuwa ni mvumilivu na anastahili kuendelea kupewa madaraka

Bado naendelea kuamini kuwa ikipigwa kura leo juu ya uraisi wa 2015,Mh Lowasa anaweza akachukua nchi

ktk vijiji nilivyopita watu wengi wananieleza kuwa walichukizwa sana na ile kauli iliyotelewa na Mh mmoja kuwa ana Vijisent tu,hii kauli nimeipata kwa wanavijiji wa
magole
lumuma.
gairo,
kihelezi
kidogobasi,
.luwangwa
.mkindo
,luhombero
,dabaga
,chunya,
msunjilile
na banyibanyi
huko nilikwenda kufunga solar panel na niliwauliza wanakijiji juu ya mambo mengi ya kisiasa

Mh Lowasa anaweza kama akipata nafasi


Zungukia vijiji na sehemu mbalimbali katika mikoa ya mwanza,shy,musoma,kagera,arusha,mbeya utupe matokeo yake pia
 
kwani kanisani anafanya nini jamani
tukumbuke kuwa yeye ni Mkristo kuhudhuria kanisani ni wajibu wake kulingana na imani yake alafu tujue kuwa Mungu ni tofauti sana na sisi wanadamu tunavyo waza maana tunaweza tukaendelea kumuhesabia makosa EL kumbe yeye alisha tubu na kusamehewa siku nyingi na Mungu wake

Nadhani kama tuna kumbuka huko nyuma wakati hizi tuhuma za ufisadi ndiyo zianza alialikwa kanisa fulani DAR ( silikumbuki jina ) akatoa mchango wake baadaye viongozi wakuu wa kanisa wakaja juu na kusema kama ni huo mchango wake arejeshewe

Kwa kipindi hiki tujiulize kwa nini makanisa mengi yanamualika sana EL kwenye matamasha yao ( Je, yanapenda pesa tu?, Anakubalika kwa sasa na jamii yote kiasi kwamba ana mvuto kwa jamii hivyo pesa hukusanywa kirahisi? )

Please we have to think and rethink " WHY???????????"

MAKANISA yamegundua progaganda chafu juu yake na elewa kuwa viongozi wa makanisa wanamwono wa mbali sana,wanaelewa nini wakifanyacho
Watu walimpakazia ili tu waweze kupata njia ya kupita,sasa inakuwa tofauti na kwakuwa tupo tutapata jibu tu mwisho wasiku

mimi naendelea kusema kuwa Mh EL Bado ni chaguo la wengi hususani vijijini kwenye wapiga kura wengi
 
Aiseee huyu jamaana keshatumaliza kabisa, mheshimiwa Membe uko wapi mbona sikusikii nambie maana tunaanza kukata tamaa. Maweeeee
 
Huwa nawaeleza wanajf kuwa kwa sisi tunaozunguka vijijini kufunga solar panel tunaelezwa kuwa Mh Lowasa bado watu wanamkubali sana tofauti na sisi wachache tufikiliavyo humu ndani(jf)

ktk vijiji na miji niliyozunguka bado baadhi ya watu wanmwona Mh Lowasa ni kama kiongozi aliyejotoa mhanga kukinusuru chama chake na serikali,hivyo wanamkubari kuwa ni mvumilivu na anastahili kuendelea kupewa madaraka

Bado naendelea kuamini kuwa ikipigwa kura leo juu ya uraisi wa 2015,Mh Lowasa anaweza akachukua nchi

ktk vijiji nilivyopita watu wengi wananieleza kuwa walichukizwa sana na ile kauli iliyotelewa na Mh mmoja kuwa ana Vijisent tu,hii kauli nimeipata kwa wanavijiji wa
magole
lumuma.
gairo,
kihelezi
kidogobasi,
.luwangwa
.mkindo
,luhombero
,dabaga
,chunya,
msunjilile
na banyibanyi
huko nilikwenda kufunga solar panel na niliwauliza wanakijiji juu ya mambo mengi ya kisiasa

Mh Lowasa anaweza kama akipata nafasi

hao wananchi ni wanachama wa CCM au wale kama mimi tusiokuwa na chama?
 
Zungukia vijiji na sehemu mbalimbali katika mikoa ya mwanza,shy,musoma,kagera,arusha,mbeya utupe matokeo yake pia

Usiwe na shaka mkuu
nimepata tenda ktk kijiji cha songwa shinyanga kipo kipo kati ya kolandoto na Bulahu,nitakupa majibu tena safari hii nitarekodi sauti kabisa
 
Huyu mtu anaitwa EL ni noma jamani maana juzi kafunika sana japokuwa wengi hawakujua sasa wanajua EL yuko bomba sana sasa
 
hivi jaman kwani lowasa haruhusiwi kwenda kanisani? kwan hana uhuru wa kuabudu?
hebu tujadili mambo ya msingi lakini swala la mtu kwenda kanisani na politics haingii akilini kwani kabla ya kuitwa gamba alikua haendi kanisani na kama alikua anakwenda kanisani mbona mlikua hamleti taarifa hizo hapa jamvini??

:photo::photo:Kwa ninavyofahamu tutamhukumu mtu kwa matendo yake serikalini na sio kwa kigezo cha kwenda church:photo::photo::photo:
 
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu aliyepima mwenyewe akafadhaika akaona kuwa inafaa aachie ngazi, atakuwa tena Mgeni Rasmi katika harambee ya kuchangia kumalizia Ujenzi wa Kanisa la Usharika wa amani lililopo sabasaba Mjini singida, tarehe 27/11/2011. Viongozi wa Kanisa naomba kujua msimamo wenu. UFISADI MBAYA LAKINI PESA YA FISADI TAMUUUUU........... MWANAFALSAFA NASEMA "TUMBO LENYE NJAA HALIJUI SHERIA"


wapi Malaria Sugu?
 
Cameroon hata baada ya kuomba msamaha bado watu wengi mawazo ya ucameroon yamewajaa. Mbona hamuandami Chenge?
Acheni ujinga. Mbona mie nimesali obay wakati naishi Sinza. Ni kosa akihudhuria au kualikwa? Ucheni u masaburi na u cameron.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom