Lowassa kutumia sh bilioni 70 kujenga gorofa 25 Dar City Centre!

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Kwa mujibu wa gazeti la DIRA la leo toleo la Novemba 29 - Desemba 5, 2010, waziri mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, amebomoa jengo la kihistoria la Nyumba ya Sanaa pale karibu na Movenpik Hotel Dar city centre na sasa atajenga gorofa 25 kwenye eneo hilo.

Kwa mujibu wa gazeti hilo, mradi huo utagharimu dola za kimarekani $45.5 million, sawa na takriban shilingi bilioni 70!.

Mradi huo wa jengo unajengwa kupitia kampuni ya Lowassa inayoitwa Integrated Property Investment (Tanzania) Limited.

Kuna tuhuma kuwa huu ni mradi wa kifisadi. Wasanii walilalamika mpaka Ikulu kwa Kikwete kujaribu kuzuia Nyumba ya Sanaa isivunjwe na kampuni ya Lowassa wakashindwa.

Kampuni hiyo ya Lowassa ndiyo iliyohusika na kashfa ya kununua nyumba huko London kwa karibu shilingi bilioni 1. Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la wiki iliyopita, mtoto wa Lowassa, Frederick, anachunguzwa na polisi wa Uingereza kutokana na kashfa hiyo.

* Je, Lowassa ambaye maisha yake yote amekuwa civil servant ametoa wapi 70bn/- kujenga gorofa hilo?

* TAKUKURU inasemaje kuhusu utajiri wa kutisha wa PM huyu wa zamani haswa baada ya yeye kuhusishwa na ufisadi wa Richmond na baadae TAKUKURU kumkosha?

* Huyu ndiye mtu anayetaka kuwa Rais baada ya Kikwete 2015 "by any means necessary" kwa kushirikiana na Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Manji, Yusuf Makamba, Kingunge Ngombale Mwiru, etc. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?
 
Wala Lowasa hana kosa.
Mabest wa checkbob JK wanaimaliza nchi. Mzizi ni JK na Chama cha majambazi.
Jamani tuache hata itikadi za chama tuungoe mti huu.
This is serious. Msidanganyike na propaganda za UDINI ukabila. Suala siyo chama wala siasa ni kungoa wezi komba.
 
Kwa mujibu wa gazeti la DIRA la leo toleo la Novemba 29 - Desemba 5, 2010, waziri mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, amebomoa jengo la kihistoria la Nyumba ya Sanaa pale karibu na Movenpik Hotel Dar city centre na sasa atajenga gorofa 25 kwenye eneo hilo.

Kwa mujibu wa gazeti hilo, mradi huo utagharimu dola za kimarekani $45.5 million, sawa na takriban shilingi bilioni 70!.

Mradi huo wa jengo unajengwa kupitia kampuni ya Lowassa inayoitwa Integrated Property Investment (Tanzania) Limited.

Kuna tuhuma kuwa huu ni mradi wa kifisadi. Wasanii walilalamika mpaka Ikulu kwa Kikwete kujaribu kuzuia Nyumba ya Sanaa isivunjwe na kampuni ya Lowassa wakashindwa.

Kampuni hiyo ya Lowassa ndiyo iliyohusika na kashfa ya kununua nyumba huko London kwa karibu shilingi bilioni 1. Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la wiki iliyopita, mtoto wa Lowassa, Frederick, anachunguzwa na polisi wa Uingereza kutokana na kashfa hiyo.

* Je, Lowassa ambaye maisha yake yote amekuwa civil servant ametoa wapi 70bn/- kujenga gorofa hilo?

* TAKUKURU inasemaje kuhusu utajiri wa kutisha wa PM huyu wa zamani haswa baada ya yeye kuhusishwa na ufisadi wa Richmond na baadae TAKUKURU kumkosha?

* Huyu ndiye mtu anayetaka kuwa Rais baada ya Kikwete 2015 "by any means necessary" kwa kushirikiana na Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Manji, Yusuf Makamba, Kingunge Ngombale Mwiru, etc. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?

Kama ana-invest hapahapa Bongo haina shida. Mwache aendelee. Wanaoniudhi na Rostam na Manji wanao-invest nje ya nchi. Hao ndiyo wa kufa nao.
 
mkuu sina shaka na lowassa katoa wapi pesa hizo...jibu ni very simple...KAKOPA BENKI...issue nayoiona mie ni amewezaje kupata hilo eneo na kubomoa jengo la kihistoria kama hilo?...pili lazima tujue hiyo design ya jengo la ghorofa 25 litakuwa na facilities gani au matumizi gani?...unawezakuta ni jumba la sanaa la ghorofa 25..so matumizi yaleyale na tija juu
 
Kwa mujibu wa gazeti la DIRA la leo toleo la Novemba 29 - Desemba 5, 2010, waziri mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, amebomoa jengo la kihistoria la Nyumba ya Sanaa pale karibu na Movenpik Hotel Dar city centre na sasa atajenga gorofa 25 kwenye eneo hilo.

Kwa mujibu wa gazeti hilo, mradi huo utagharimu dola za kimarekani $45.5 million, sawa na takriban shilingi bilioni 70!.

Mradi huo wa jengo unajengwa kupitia kampuni ya Lowassa inayoitwa Integrated Property Investment (Tanzania) Limited.

Kuna tuhuma kuwa huu ni mradi wa kifisadi. Wasanii walilalamika mpaka Ikulu kwa Kikwete kujaribu kuzuia Nyumba ya Sanaa isivunjwe na kampuni ya Lowassa wakashindwa.

Kampuni hiyo ya Lowassa ndiyo iliyohusika na kashfa ya kununua nyumba huko London kwa karibu shilingi bilioni 1. Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la wiki iliyopita, mtoto wa Lowassa, Frederick, anachunguzwa na polisi wa Uingereza kutokana na kashfa hiyo.

* Je, Lowassa ambaye maisha yake yote amekuwa civil servant ametoa wapi 70bn/- kujenga gorofa hilo?

* TAKUKURU inasemaje kuhusu utajiri wa kutisha wa PM huyu wa zamani haswa baada ya yeye kuhusishwa na ufisadi wa Richmond na baadae TAKUKURU kumkosha?

* Huyu ndiye mtu anayetaka kuwa Rais baada ya Kikwete 2015 "by any means necessary" kwa kushirikiana na Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Manji, Yusuf Makamba, Kingunge Ngombale Mwiru, etc. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?

hapa sichangii ng'o!
 
I guess that might not be true.!!! Hao Dira ni source ya kuamninika??
Tujifunze kuheshimu watu si kuchafuana tu. Agghhh!!


Gazeti la DIRA silielewi vizuri lakini lime quote mkataba kati ya Nyumba ya Sanaa na Integrated Property Investment (Tanzania) Limited. Pia nyaraka za BRELA zinaonesha kuwa Lowassa ndiyo mmiliki wa Integrated Property Investment (Tanzania) Ltd. Tujifunze kuwa open-minded na si kutetea watu tu. Tunapaswa kufuatilia jambo hili. Pia si jambo la siri kuwa Lowassa ana utajiri mkubwa sana wa mashaka kupitia kampuni yake ya Alphatel na nyinginezo
 
I guess that might not be true.!!! Hao Dira ni source ya kuamninika??
Tujifunze kuheshimu watu si kuchafuana tu. Agghhh!!
Sijakuelwa...........Do you need source ya kuaminika au ukweli wa jambo......??? Ndiyo maana huwa tunadanganywa sana wa-TZ kwa kuamini kuwa tunaowaamini hawatakiwi kutiliwa shaka
 
mkuu sina shaka na lowassa katoa wapi pesa hizo...jibu ni very simple...KAKOPA BENKI...issue nayoiona mie ni amewezaje kupata hilo eneo na kubomoa jengo la kihistoria kama hilo?...pili lazima tujue hiyo design ya jengo la ghorofa 25 litakuwa na facilities gani au matumizi gani?...unawezakuta ni jumba la sanaa la ghorofa 25..so matumizi yaleyale na tija juu

Ni kweli, wafanyabiashara wote mara nyingi hukopa benki ili kutekeleza miradi mikubwa kama hii. Lakini benki haiwezi kukukopesha wewe pesa nyingi kama hii ya $45.5 million mpaka uwe mfanyabiashara mkubwa na una cash flow ya kutisha. Swali linabaki pale pale, utajiri huu ameutoa wapi huyu civil servant? Pia inaelekea kuna ufisadi kwenye mkataba wenyewe na Nyumba ya Sanaa.
 
I guess that might not be true.!!! Hao Dira ni source ya kuamninika??
Tujifunze kuheshimu watu si kuchafuana tu. Agghhh!!

Inasikitisha saaaaaaaaaaaana KAMA MWENYEJI ATAONEKANA KAMA MGENI. Funga wewe ni mgeni humu au mwenyeji.
 
mkuu sina shaka na lowassa katoa wapi pesa hizo...jibu ni very simple...KAKOPA BENKI...issue nayoiona mie ni amewezaje kupata hilo eneo na kubomoa jengo la kihistoria kama hilo?...pili lazima tujue hiyo design ya jengo la ghorofa 25 litakuwa na facilities gani au matumizi gani?...unawezakuta ni jumba la sanaa la ghorofa 25..so matumizi yaleyale na tija juu
Yaa anaweza kuwa amekopa baank.Mbna hata serikali inajenga kwa mikopo, pesa ya kujenga haishikiki hivihivi.
 
labda mimi nidiskas avatar yako tu.

huyu lowasa ni tajiri sana.

dah!

The fact that has decided to invest in Tanzania, I think he should be credited for that. There are many Tanzanians who are going to be employed up there. If there is a contract between Nyumba ya Sanaa and his company, what is the problem? After all, he has not changed the use of the area only improved!

Hey, Tanzanians, let us encourage our own people to invest in Tanzania. It is for the benefit of all Tanzanians.

Do you want him to invest elsewhere?
 
....Lowassa, hajaacha tu!!? Huyu mtu hatari sana kwa uchumi, jamii, na siasa katika Tanzania. Aogopwe kama ukoma!
 
Pamoja na mapungufu ya Lowassa, yeye si pekee mwenye mali za mabilioni ya shilingi. Wapo viongozi wengi wenye mali zaidi hata ya hizo, kwa nini media ikomae na Lowassa tu kila wakati? wapambane na wote kuwa fair!
 
Kwa mujibu wa gazeti la DIRA la leo toleo la Novemba 29 - Desemba 5, 2010, waziri mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, amebomoa jengo la kihistoria la Nyumba ya Sanaa pale karibu na Movenpik Hotel Dar city centre na sasa atajenga gorofa 25 kwenye eneo hilo.

Kwa mujibu wa gazeti hilo, mradi huo utagharimu dola za kimarekani $45.5 million, sawa na takriban shilingi bilioni 70!.

Mradi huo wa jengo unajengwa kupitia kampuni ya Lowassa inayoitwa Integrated Property Investment (Tanzania) Limited.

Kuna tuhuma kuwa huu ni mradi wa kifisadi. Wasanii walilalamika mpaka Ikulu kwa Kikwete kujaribu kuzuia Nyumba ya Sanaa isivunjwe na kampuni ya Lowassa wakashindwa.

Kampuni hiyo ya Lowassa ndiyo iliyohusika na kashfa ya kununua nyumba huko London kwa karibu shilingi bilioni 1. Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la wiki iliyopita, mtoto wa Lowassa, Frederick, anachunguzwa na polisi wa Uingereza kutokana na kashfa hiyo.

* Je, Lowassa ambaye maisha yake yote amekuwa civil servant ametoa wapi 70bn/- kujenga gorofa hilo?

* TAKUKURU inasemaje kuhusu utajiri wa kutisha wa PM huyu wa zamani haswa baada ya yeye kuhusishwa na ufisadi wa Richmond na baadae TAKUKURU kumkosha?

* Huyu ndiye mtu anayetaka kuwa Rais baada ya Kikwete 2015 "by any means necessary" kwa kushirikiana na Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Manji, Yusuf Makamba, Kingunge Ngombale Mwiru, etc. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?

mwacheni bana..Kila siku maneno tu ,umaskini kitu kibaya sana..Yaani badala ya kuwaza utapataje hela we unakazi ya kujadili Lowassa kafany anini..binafsi simpendi Lowassa ila sasa mmezidi kumsema bana
 
The fact that has decided to invest in Tanzania, I think he should be credited for that. There are many Tanzanians who are going to be employed up there. If there is a contract between Nyumba ya Sanaa and his company, what is the problem? After all, he has not changed the use of the area only improved!

Hey, Tanzanians, let us encourage our own people to invest in Tanzania. It is for the benefit of all Tanzanians.

Do you want him to invest elsewhere?

You are missing the point my friends. Is Lowassa a civil servant au multi-million dollar investor? Surely, he can't be both! The overriding question is, where does a person who spent all his career working as a civil servant get the money to invest in a $50m project? How can a civil servant afford to buy a 1 billion shilling apartment in the UK?

Have you tried getting a bank loan lately? Even if you have the best writtten business plan, they won't loan you even $100,000 let alone $4.5 million. You need to have some serious cash flow and millions of dollars in your name to get such kind of a loan.

This is a major scandal!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom