Lowassa kutangaza rasmi msimamo wake Julai 13, 2015, ACT wajiandaa, CCM kupasuka

Hana cha kupoteza akiondoka CCM. Chama hakiku mtendea haki. Na muhimu zaidi, hakitamtendea haki huko mbeleni.

Uchaguzi, wa mwaka huu ndio nafasi yake ya mwisho kabisa kuonesha nguvu zake-alizo nazo nyingi tu, baada ya hapo mwendo nikuporomoka tu. Hivyo mzee wa maamuzi magumu, amka uhesabiwe. Usijifiche nyuma ya pazia la CCM. Watanzania walisema wanakuhitaji.

Kuhama chama pia ni ukomavu wa kisiasa.
 
Maana yake uchaguzi ni kama vita. Uchaguzi ni vita. Katika vita hutoka bahati watu wanakwenda vitani wengine huko katika vita hurudi wakawa ma- sajini, wakawa ma- Kapteni ili hali walikwenda kupigana, na risasi zimewakosa hupata bahati wakarudi na vyeo. Na wengine bahati mbaya huenda ikawa bahati mbaya wasirudi kabisa
.
Haya ni maneno ya Sheikh Thabit Kombo ni busara kuyasikiza!!
 
Watu mnamaneno humu ndan! EL kama yesu,ooh ni mafuriko,ooo chaguo teule LA mungu, oo ni simba. Jaman
 
attachment.php
 
Political dynamics za CCM zimechange for the better, wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ndio determinant, nani anakuwa rais wa nchi hii!, baada ya CCM kututeulia jembe kazi la Kanda ya Ziwa, damu ni nzito kuliko maji, hivyo nimeisha shauri 'jamaa yangu' akubali matokeo, avunje kambi na kujisalimisha rasmi.

Pasco

Mkuu Pasco unavituko yaani nimecheka sana daah,,,,Kwahiyo umeshavunja KAMBI kwa jamaa yako umeamua kurudi nyumbani
 
Last edited by a moderator:
Lowasa timkia ACT
japo utakosa urais, utafanikiwa kuivunjavunja ccm.
70% bungeni ni UKAWA an ACT.
CCM wabaki na 30% na urais.
watanyooka tu.
 
El mzee wa 4U kidali poo kalale nacho yatampata ya gavana wa boatt ,tulia umalizike kama povu, mnakwapuaga mahela ssem wamesoma nyakati
 
Kienda ACT ccm watataoka waking`aa km malaika kwa mbwembwe kwamba watuw alisema hawawezi kuvua gamba sasa wamevua, anaweza istabilize ccm from within hadi warudi mezani.
 
Ifike hatua tumuache mzee wa watu mbona kila kitu yeye??

Ni wangapi wametemwa kuwania urais kupitia ccm...
Naomba tumuacheni mzee wa watu apumzike chokochoko za nini?
 
Political dynamics za CCM zimechange for the better, wapiga kura wa Kanda ya Ziwa ndio determinant, nani anakuwa rais wa nchi hii!, baada ya CCM kututeulia jembe kazi la Kanda ya Ziwa, damu ni nzito kuliko maji, hivyo nimeisha shauri 'jamaa yangu' akubali matokeo, avunje kambi na kujisalimisha rasmi.

Pasco

Huna huo ubavu wa kumshauri Lowassa kukubali matokeo na kujisalimisha kwa Magufuli kwa kuwa tu amechaguliwa kupeperusha bendera ya uraisi. Ulikuwa ukilipwa kwa kuchangia vizuri na kumpamba Lowassa hapa jamii forums na sio zaidi ya hapo.Ndio tunakubali kuwa wajumbe toka kanda ya ziwa wanaweza wakawa dertaminant factor kumpata raisi wa nchi kutokana na wingi wao. Sasa Pasco anataka tuamini kuwa kama Lowassa angetokekeza kwenye tatu bora bado Magufuli kwa kuwa anatoka kanda yenye wajumbe wengi kwenye mkutano m kuu bado angeshinda.Asichoelewa ni kuwa asilimia kubwa ya wale wajumbe wa kanda ya ziwa ni watiifu kwa Lowassa. Baada ya Lowassa kuenguliwa ki mizengwe uliona wajumbe walivyochachamaa karibu mkutano wa nec uvunjike na kuishia kuahirishwa. Muda wa kuahirishwa ndipo ilipochezwa tick-tack Membe kajikuta out kiasi yeye na ndugu zake kutoamini na kukosa uhai kabisa.Hivyo Lowassa karidhika kiasi kuwa basi na wamekosa wote.Kwa vyovyote vile nae Magufuli baada ya kuiona ile hali haraka kachungulia fursa na kwa unyenyekevu mnaoujua kwake yawezekana alimwendea Lowassa na ujumbe mzito kumwomba kuungwa mkono. Hakika nae Lowassa baada ya kuona uwezekano wa kulirudisha tena jina lake haupo akaamua angalau awekeze kwa Magufuli kwa kuiruhusu kambi yake na wajumbe waaminifu kwake wa mkutano m kuu kumuunga mkono Magufuli na ndio ule ushindi wa sunami wa asilimia 87aliopata raisi mtarajiwa wetu.Kwa kuwa sisi sio wajumbe wa vikao hivyo vya uteuzi tunaamini ndivyo ilivyokuwa.
 
Back
Top Bottom