Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,903
- 95,182
Mahinterahamwe
In God we Trust
Hatuhitaji kuaminiwa na genge la kigaidi.
In God we Trust
Hatuhitaji kuaminiwa na genge la kigaidi.
😂😂😂😂😂😊😂😊 Utaniua mie jamani mbavu.hahahahaaa!!Jiwe kwa mara nyingine tena karambishwa tango pori baada ya lile la korosho sasa ni lowasa
In God we Trust
Huyu ambaye alisema lowasa ni fisadi kisha akasema sio na anafaa kuwa rais ambaye tena ni wazi sasa hivi anaenda muita ni fisadi?
Mnyika anatakiwa apewe chama yeye. Ndio mtu pekee aliyeonyesha kuwa hakufurahishwa na ujio wa lowassa ndani ya chadema.
Hapo ndipo mnapokosea - si wakati wa kusema apige nani - huyu mnayempigia debe TL ikitokea baada ya matibabu akaamua kuhamia CCM si mtakuwa mmekwaa kisiki tena?
What so important kwenu ni kujenga taasisi imara yenye falsafa makini kisha watu wakione CDM kama chama chenye nia ya kushika dola badala ya kuendelea kuwa chama chenye lengo la kulipiza visasi - LISSU Hafai kuwa Rais kamwe!!
We mwanasheria uchwara ni mnafiki tu huna loloteView attachment 1035912
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu ndiye rais wa Tanzania ajayehili ni kama debe tupu linaloguswa kidogo tu linapiga kelele hamna kitu hapo mnataka kutuletea majanga tu nchini kwetu hafaihuyo hata ujumbe wa nyumba kumi
Hapana sisi makamanda halisi hatutiliani shaka ila wakuto waamini ni hao wakuja kutoka ng'ambo.Hakuna wa kuwaamini tena
Bao la mkono la Diego Maradona lilifuatiwa na bao bora kabisa kuwahi kufungwa na mkongwe huyu. Aliwapiga chenga defense nzima ya timu ya uingereza kabla ya kufunga goli.
Na bahati mbaya na ukweli ni kuwa, siku zote maximum achievement yao inakuwa ni hiyo, “Kutetemesha CCM”.Uko sahihi sana, CDM wakichanga karata vizuri wanaweza kufanya kitu kitakachoitetemesha CCM.
Bahati mbaya kwako umekutana na waelewa ngoja nikueleze ili ujue unaongea na watu wa level zingine ni hivi kazi ya wapinzani/Wenye mawazo mbadala ni sawa na kazi ya mshika kibendera kwenye mpira wa miguu anamsaidia refa kama Kuna sehemu refa hajaona faul, wapinzani walinyosha kibendera kuashiria Kuna tatizo (faul) lakini refa (serikali) ikapeta/ikapuuza na unajua refa(serikali) ndiye mwamuzi wa mwisho sasa ulitaka wapinzani wafanye nini?Huyu ambaye alisema lowasa ni fisadi kisha akasema sio na anafaa kuwa rais ambaye tena ni wazi sasa hivi anaenda muita ni fisadi?
Mnyika anatakiwa apewe chama yeye. Ndio mtu pekee aliyeonyesha kuwa hakufurahishwa na ujio wa lowassa ndani ya chadema.
Utetezi mbovu sana huu.Bahati mbaya kwako umekutana na waelewa ngoja nikueleze ili ujue unaongea na watu wa level zingine ni hivi kazi ya wapinzani/Wenye mawazo mbadala ni sawa na kazi ya mshika kibendera kwenye mpira wa miguu anamsaidia refa kama Kuna sehemu refa hajaona faul, wapinzani walinyosha kibendera kuashiria Kuna tatizo (faul) lakini refa (serikali) ikapeta/ikapuuza na unajua refa(serikali) ndiye mwamuzi wa mwisho sasa ulitaka wapinzani wafanye nini?
Utetezi mbovu sana huu.
Huoni kama imempa nafasi Sumaye kushika nafasi iliyoachwa na Lowassa? Kumbuka nia ya Sumaye ni Urais piga ua.Mpigaji mahiri ni Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu
Kwakuwa siupendi unafiki, nakiri kufarijika na kitendo cha Lowassa kurejea CCM Jana. Nilikuwa kati ya watanzania Wa mwanzo kupinga kitendo cha Lowassa kuhamia CHADEMA. Sikupinga wala sasa sifarijiki kwakuwa ni mwanachama au mshabiki Wa CHADEMA.Sikuwahi kujiunga na chama chochote cha siasa hapa Tanzania au kwingineko.
Lakini, natamka wazi hapa kuwa Mimi ni muumini Wa demokrasia ya ushindani na ya kushindana kwa hoja. Furaha yangu wakati wote ni kuona kuna chama tawala imara na vyama vya upinzani imara. Watawala wakiwa imara na wapinzani dhaifu, kutakuwa na tatizo. Halikadhalika, upinzani imara unapaswa kuendana na watawala imara.
Sijifichi kusema kuwa Lowassa, tangu ahamie CHADEMA 2015,amekuwa kigingi cha ustawi Wa chama hicho. Kujiimarisha kwake kulikuwa kila kukicha kitisho kipya kwa CHADEMA. Nilikuwa nasikitika na kuisikitikia Sana CHADEMA ikizingatiwa kuwa ndio viongozi Wa wapinzani nchini. Yaani, CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani.
Kuondoka kwa Lowassa CHADEMA ni fursa adhimu kwa chama hicho kujipanga upya na kujiimarisha vya kutosha. Ni Kama kupata penati wakati Wa dakika za nyongeza. Lowassa Si mwanasiasa Wa kitaasisi. Yeye hujijenga na kujiimarisha binafsi.
Kazi kwenu CHADEMA, mkipaisha mmekwisha!