Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
- Thread starter
- #21
Jamaa walishajipanga kuwa baada ya JK anafuatia EL, then vijana wao wengine + familia zao n.k. Ndio maana Ridhiwani na mama tayari washapewa nafasi muhimu kwenye CCM. Raisi wetu yupi mwingine ambaye familia yote iliingizwa kwenye ulaji wa CCM? EL is back whether tunataka au la, ngoja tuisubiri radio mestini iendelee kutema.