I have a feeling Chadema wanaweza kumkubali na kumsafisha..
I have a feeling Chadema wanaweza kumkubali na kumsafisha..
Kuna tetesi zimeenea kwamba Mh E Lowassa asipo pewa channel ya madaraka tena huenda akajitoa CCM na kujizatiti kwa ajili ya 2010 au 2015...leteni habari zaidi
Nani kasema Lowassa ni Morani? Lowassa ni Mmeru toka lini akawa Mmasai? Lowassa ni jina la kimasai likimaanisha 'mwenye maringo'. Huyu ni mgeni mwenye maringo na nyumbani kwake ni Chama Cha Mafisadi(CCM), atoke amalizwe na mafisadi wenzie?
Asha
Kutoka hawezi hiyo ni tisha toto tu!
I have a feeling Chadema wanaweza kumkubali na kumsafisha..
Kuna tetesi zimeenea kwamba Mh E Lowassa asipo pewa channel ya madaraka tena huenda akajitoa CCM na kujizatiti kwa ajili ya 2010 au 2015...leteni habari zaidi
Kheeeee heeeee kheeeeee...Eeeh!akimwaga unga watu wanamwaga mboga!