Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
kupitia ukurasa wake wa facebook amesema alipokuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya bodaboda amegundua asilimia 50 si zao.
hivo tarehe 15 mwezi wa kwanza atakutana na viongozi wa bodaboda kisha ataandaa harambee kubwa sana ili hiyo asilimia 50 itapewa bodaboda bure ili kujiajiri wenyewe
hivo tarehe 15 mwezi wa kwanza atakutana na viongozi wa bodaboda kisha ataandaa harambee kubwa sana ili hiyo asilimia 50 itapewa bodaboda bure ili kujiajiri wenyewe