Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,070
Naibu katibu Mkuu Zanzibar Mh Salum Mwalim ameongea na waandishi wa habari na kutoa taarifa ya kesho asubuhi majira ya saa tano Mh Edward Lowassa atachukuwa fomu ya kuomba kugombea nafasi ya Uraisi.Kupitia CHADEMA
Kulikuwa na press briefing Makao Makuu ya Chama ikiwa ni mwendelezo wa matukio mbalimbali wakati joto la uchaguzi linazidi kupamba moto.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Zanzibar, Salum Mwalimu amewaambia waandishi wa habari hapa kuwa kesho mwanachama mpya wa CHADEMA, Edward Lowassa atachukua fomu za kuwania uteuzi wa ndani ya chama kuwania nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Makene
Attachments
Last edited by a moderator: