Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Ngoyai Lowassa yuko kwenye maandalizi ya kuukwaa Urais wa Tanzania 2015.
Hii inadhihirishwa na nguvu kubwa aliyotumia kuhakikisha CCM inshinda udiwani Makuyuni_Monduli kwa mbinu yoyote ile ili kumhakikishia JK umaarufu wake kama alivyoahidi kwenye vikao vya CCM. Kule Makuyuni kumetokea vurugu zilizosababisha Mbunge wa Chadema Joshua Nasari kujeruhiwa.
Monduli si kwamba hakuna upinzani ila Lowassa amekuwa akiandaa magenge ya kihuni na kuwapa fedha ili kudhibiti wapinzani wa CCM na hata wapinzani wake ndani ya CCM. Sasa huyu ndiye Mtu anayetegemewa kugombea Urais kupitia CCM. Huyu Mtu hafai kabisa ni Mtu wa visasi na hapendi kukosolewa.
Ushahidi ni wapinzani wake ndani ya CCM-Monduli amewahujumu hadi basi, kwa kifupi Mtu kama huyu akichukua nchi ni afadhali ya Iddi Amini wa Uganda.
Angalia alipokuwa Waziri Mkuu alivyokuwa anatumia madaraka vibaya na kupelekea hata kukiuka sheria an hatimae dhambi ikamfikisha kwenye arobaini kwenye sakata la Richmond (Richard Monduli).
Anajifanya anapenda elimu lakini ni unafiki kwani huku Monduli hataki wasomi maana hataki kukosolewa wengi wa washabiki wake wanaelimu ndogo na wachache wenye elimu ni wale wa ndio-mzee.
Nawasilisha kwa uchambuzi zaidi. Mungu atuepushe na watu wanaojivika ngozi ya kondoo wakati ni chui.
Hii inadhihirishwa na nguvu kubwa aliyotumia kuhakikisha CCM inshinda udiwani Makuyuni_Monduli kwa mbinu yoyote ile ili kumhakikishia JK umaarufu wake kama alivyoahidi kwenye vikao vya CCM. Kule Makuyuni kumetokea vurugu zilizosababisha Mbunge wa Chadema Joshua Nasari kujeruhiwa.
Monduli si kwamba hakuna upinzani ila Lowassa amekuwa akiandaa magenge ya kihuni na kuwapa fedha ili kudhibiti wapinzani wa CCM na hata wapinzani wake ndani ya CCM. Sasa huyu ndiye Mtu anayetegemewa kugombea Urais kupitia CCM. Huyu Mtu hafai kabisa ni Mtu wa visasi na hapendi kukosolewa.
Ushahidi ni wapinzani wake ndani ya CCM-Monduli amewahujumu hadi basi, kwa kifupi Mtu kama huyu akichukua nchi ni afadhali ya Iddi Amini wa Uganda.
Angalia alipokuwa Waziri Mkuu alivyokuwa anatumia madaraka vibaya na kupelekea hata kukiuka sheria an hatimae dhambi ikamfikisha kwenye arobaini kwenye sakata la Richmond (Richard Monduli).
Anajifanya anapenda elimu lakini ni unafiki kwani huku Monduli hataki wasomi maana hataki kukosolewa wengi wa washabiki wake wanaelimu ndogo na wachache wenye elimu ni wale wa ndio-mzee.
Nawasilisha kwa uchambuzi zaidi. Mungu atuepushe na watu wanaojivika ngozi ya kondoo wakati ni chui.