Wafanya biashara ndiyo walimwelewa Lowasa.Huhitaji akili ya ziada kutambua kuwa bidhaa ambazo hupita bandari ya Dar es salaamu.Zinauzwa bei ndogo nchi jirani kuliko Tanzania.Kama kweli unaelewa kila mwaka huwa unaambiwa pato la Taifa limepanda je! Kwenye maisha ya kawaida kunatokeaga unafuu.Yaana wewe mahaba tu yanakuua huna jipya kabisa wewe.