mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Kuitoa ccm ili iwe nini? Lowassa ana maono, anataka kuwatoa kwenye magwanda ya mgambo ili mvae vizuri na kiheshima kama ccm.Lowassa amezeeka akili. Kwa mitazamo aliyo nayo ni vigumu sana kuitoa ccm madarakani kwa miaka ya hivi karibuni.