Lowassa hajawahi kuwa fisadi bali mtuhumiwa kama wengine

Pius J. Kiwarya Lema

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
1,097
565
Mimi Ni Mkristo Mlokole, sitetei dhambi lakini napenda Haki kwa wote Wanajukwaa Nimesikia Nape anadai/Kumaanisha MTU yeyote (chadema)anayepinga ufisadi wamfukuze Lowassa,

Namuuliza huko Ccm Mtuhumiwa wa fisadi Ni Lowassa pekee ?

Wale waliowahi kutajwa Na Dr.Slaa akiwemo Bosi wake kwa Nini hawajafukuzwa miaka yote ?

Ndo kusema Lowassa anapigwa vita sio kwa sababu ya ufisadi ?

"Tuwe wakweli Ukiona watu wanakusema bila Sababu ujue" Umewazidi !

Na Ukiona MTU ajifanya kukemea/Na kusemea sana mambo haya

matatu( ufisadi ;ukabila ;udini ) bila vitendo

Walio wengi ndiyo tabia yake !!!!

Nape Acheni Ubaguzi Watuhumiwa wote wapelekwe Mahakamani !!

Mimi Namshukuru sana Freeman Mbowe aliyetuondolea siasa za Za Ccm za Kumkimbiza anayedaiwa Mwizi "

Hatmaye siasa za Mitaroni !
zimefikia Ukingoni sasa wanatapatapa, eti afukuzwe !

Mbona walishindwa kumfukuza kama alikuwa fisadi;
Mpaka akaondoka wenyewe ???

Lowassa is a Leader not Manager !!
1452760167398.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kiongozi wa ccm tangu 1995 ambaye hakuwahi kuwa fisadi, Sema lowassa Richimond ndiyo iliyomfichua, lkn viongizi wote wa ccm wamefilisi hii nchi.

Inawezakuwa lowassa hakuhusika na Richimondi, lakini bado inatia shaka mali zake kazipataje.

Suala halikuwa kumwangalia nani msafi, bali nani atayaleta mabadiliko ambayo amedhamiria, lakini kwa kutumia kigezo cha usafi, hata upinzani hakuna atakaye pona sema kashfa zao hazijawa public.
 
Mlokole? kama waijua njia ya haki, maswali yako ulipaswa umuulize nani? Utapata majibu sahihi yasiyokuwa na hila na unafiki kutoka kwa Mwanadamu? Katika hizi siasa hatujashuhudia baadhi ya wanaoitwa watumishi wa Mungu wakibadilisha badilisha maneno ili kukidhi matakwa yao? HERI KUCHAGUA JINA JEMA KULIKO KUITWA MWANASIASA!!!
 
Dhana ya matumizi ya NENO Ufisadi inavyotumiwa
Na Ccm hapa Tanzania impoteza maana yake !

Mathalani Nakumbuka Spika Anne Makinda alipochaguliwa aliulizwa
kwamba kuna tuhuma kwamba Mafisadi ndio waliowezwsha kupata ile nafasi !

Akajibu
Anachojua Maana ya Neno Ufisadi(Kenya)
Ni MTU anayechukua Wake za
watu hivyo hawajui hao Mafisadi wanaodaiwa
kumsaidia !

Ndo Maana Nasisitiza Nape aache Siasa za Mitaroni

atafute Maana ya NENO Ufisadi kwa kuwapeleka Watuhumiwa Mahakamani

Vinginevyo tunaendelea kujenga
visasi na chuki ambazo zitahamasisha watu kuchukua sheria mkononi
 
WEWE NI ZIRO KABISA KICHWANI. UMEANDIKA NINI SASA. CHADEMA WENYEWE NDIO WAMETUAMBIA LOWASSA NI FISADI KWA MIAKA MINANE. WAULIZE WAO ILIKUWAJE AKABADILIKA KUWA MALAIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU NA SIYO CCM!

Mimi Ni Mkristo Mlokole sitetei
dhambi lakini napenda
Haki kwa wote
Wanajukwa Nimesikia Nape
anadai/Kumaanisha MTU
yeyote (chadema)anayepinga ufisadi wamfukuze Lowassa,

Namuuliza huko Ccm Mtuhumiwa
wa fisadi Ni Lowassa pekee ??

Wale waliowahi kutajwa Na Dr.Slaa
akiwemo Bosi wake kwa Nini hawajafukuzwa miaka yote ?

Ndo kusema Lowassa anapigwa vita sio kwa sababu ya ufisadi ?

"Tuwe wakweli Ukiona watu wanakusema bila Sababu ujue" Umewazidi !

Na Ukiona MTU ajifanya
kukemea/Na kusemea sana mambo haya

matatu( ufisadi ;ukabila ;udini ) bila vitendo

Walio wengi ndiyo tabia yake !!!!

Nape Acheni Ubaguzi Watuhumiwa wote wapelekwe Mahakamani !!

Mimi Namshukuru sana Freeman Mbowe aliyetuondolea siasa za Za Ccm za Kumkimbiza anayedaiwa Mwizi "

Hatmaye siasa za Mitaroni !
zimefikia Ukingoni sasa wanatapatapa, eti afukuzwe !

Mbona walishindwa kumfukuza
kama alikuwa fisadi;
Mpaka akaondoka wenyewe ???

Lowassa is a Leader not Manager !!
 
Mtahangaika sana kutetea hili fisadi lenu lakini hamtaweza ufisadi wa Lowasa hata mke wa sumaye na mke wa kingunge wanajua kuwa Lowasa ni fisadi..
 
WEWE NI ZIRO KABISA KICHWANI. UMEANDIKA NINI SASA. CHADEMA WENYEWE NDIO WAMETUAMBIA LOWASSA NI FISADI KWA MIAKA MINANE. WAULIZE WAO ILIKUWAJE AKABADILIKA KUWA MALAIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU NA SIYO CCM!

Hoja ya Lowassa kwamba mmojawapo wa
mtuhumiwa ilitole
wa.
kabla hajaiuzulu Na imebainika alijiuzilu kwa makosa
ya waliokuwa chini Na kulinda heshima ya seirikali !!
Binge lilikiri hivyo kwenye ripoti ya mwakyembe

Edward Ngoyai Lowassa hakuhusika !!
 
Mimi Ni Mkristo Mlokole sitetei
dhambi lakini napenda
Haki kwa wote
Wanajukwa Nimesikia Nape
anadai/Kumaanisha MTU
yeyote (chadema)anayepinga ufisadi wamfukuze Lowassa,

Namuuliza huko Ccm Mtuhumiwa
wa fisadi Ni Lowassa pekee ??

Wale waliowahi kutajwa Na Dr.Slaa
akiwemo Bosi wake kwa Nini hawajafukuzwa miaka yote ?

Ndo kusema Lowassa anapigwa vita sio kwa sababu ya ufisadi ?

"Tuwe wakweli Ukiona watu wanakusema bila Sababu ujue" Umewazidi !

Na Ukiona MTU ajifanya
kukemea/Na kusemea sana mambo haya

matatu( ufisadi ;ukabila ;udini ) bila vitendo

Walio wengi ndiyo tabia yake !!!!

Nape Acheni Ubaguzi Watuhumiwa wote wapelekwe Mahakamani !!

Mimi Namshukuru sana Freeman Mbowe aliyetuondolea siasa za Za Ccm za Kumkimbiza anayedaiwa Mwizi "

Hatmaye siasa za Mitaroni !
zimefikia Ukingoni sasa wanatapatapa, eti afukuzwe !

Mbona walishindwa kumfukuza
kama alikuwa fisadi;
Mpaka akaondoka wenyewe ???

Lowassa is a Leader not Manager !!
Waulize chadema na akina Mnyika na kubenea kwa nini walimkomalia bungeni hadi akajiuzuru?
 
Utajiri wa mtu ni siri yake. Kuna wakati hata mke anaweza asijue ukweli kuhusu utajiri wa mumewe. Ungekaa zako kimya ungejijengea heshima zaidi kuliko kuja huku jf kuandika vitu ambavyo ukiambiwa uvithibitishe hutaweza.
 
Kama mafisadi wako based kwenye ile list of shame ya Mwembe Yanga ........... basi kuna Fisadi mmoja CDM na Mafisadi 10 CCM!! Inawezekana kabisa Lowasa akawa ni fisadi mkubwa kuliko wengine .... lakini hiyo haiwafanyi hao wengine kutokuwa mafisadi!! JPM inaonekana analijua hilo ndiyo maana kuna watu aliwakwepa kwenye kapeni zake!!

CCM watajifanya ma-spin doctors lakini ukweli utabaki kuwa ukweli. Toka 1995 Tanzania tunatuhuma za Ufisadi nyingi ....... kuanzia IPTL, EPA, Richmond, Dowans, Kangoda, Meremeta, Escrow ...... sasa haiwezekani scandal moja tu ndiyo imezalisha Mafisadi!!

Anyway, kama Kikwete aliweza kutengeneza kesi na kuwafunga Yona na Mramba inakuwaje alishindwa kumtengenezea kesi Lowasa??
 
Kunja ngumi, zungusha zungushaaaaaa lowasaaaa mabadiliko, mabadiliko' lowasaaaa! Endeleeni kujiharishia. Mwulize kwanini hakufanya ile party aliyokuwa akifanya kila mwanzo wa mwaka mwaka huu? Kwanini hajakaa monduli kaenda kujichimbia tanga?!
 
Mimi Ni Mkristo Mlokole, sitetei dhambi lakini napenda Haki kwa wote Wanajukwaa Nimesikia Nape anadai/Kumaanisha MTU yeyote (chadema)anayepinga ufisadi wamfukuze Lowassa,

Namuuliza huko Ccm Mtuhumiwa wa fisadi Ni Lowassa pekee ?

Wale waliowahi kutajwa Na Dr.Slaa akiwemo Bosi wake kwa Nini hawajafukuzwa miaka yote ?

Ndo kusema Lowassa anapigwa vita sio kwa sababu ya ufisadi ?

"Tuwe wakweli Ukiona watu wanakusema bila Sababu ujue" Umewazidi !

Na Ukiona MTU ajifanya kukemea/Na kusemea sana mambo haya

matatu( ufisadi ;ukabila ;udini ) bila vitendo

Walio wengi ndiyo tabia yake !!!!

Nape Acheni Ubaguzi Watuhumiwa wote wapelekwe Mahakamani !!

Mimi Namshukuru sana Freeman Mbowe aliyetuondolea siasa za Za Ccm za Kumkimbiza anayedaiwa Mwizi "

Hatmaye siasa za Mitaroni !
zimefikia Ukingoni sasa wanatapatapa, eti afukuzwe !

Mbona walishindwa kumfukuza kama alikuwa fisadi;
Mpaka akaondoka wenyewe ???

Lowassa is a Leader not Manager !!
View attachment 316784
Kama chanzo ni Nape wala usipate shida... Kwakuwa yeye hongea chochote kinachomjia kichwani mwake bila hata ya kutafakari... Hata Kikwete alipata kusema
 
Mleta mada una akili ndogo sana...kila siku mnaita ccm ni chama cha mafisadi...mkaja na sera ya kupambana na mafisadi....leo mnaulizwa kwanini mmekumbatia mafisadi, mnajibu "mbona na nyie ccm mmejaza mafisadi"? Kweli akili ndogo zitaendelea kitawaliwa always
 
Hoja ya Lowassa kwamba mmojawapo wa
mtuhumiwa ilitole
wa.
kabla hajaiuzulu Na imebainika alijiuzilu kwa makosa
ya waliokuwa chini Na kulinda heshima ya seirikali !!
Binge lilikiri hivyo kwenye ripoti ya mwakyembe

Edward Ngoyai Lowassa hakuhusika !!
Naona vijana wa Kaskazini mnateteana....nadhani we utakuwa mlokole wa kilutheri
 
Back
Top Bottom