MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
haaaaa...kumbe hadi ufisadi una cheo.Hahahahaaaa eti fisadi mkuu watu mna maneno
haaaaa...kumbe hadi ufisadi una cheo.Hahahahaaaa eti fisadi mkuu watu mna maneno
hiyo sifa ya fisadi mkuu kashapokonywa na wa msoga, kama unabisha basi yale matukio ya bandarini ni maigizoNadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
...mjomba kuna mijitu minafiki sana humu,kutwa kuweweseka!mnaona raha kusoma vichwa vya habari na kuposti huku mkijadili. Nani kaisoma habari hiyo katika kurasa za ndani ya gazeti hilo? tunahitaji jamii yenye uwezo wa kupembua habari hizo kiundani kabla hamjaanza kuchangia hoja hiyo. Binafsi mpaka niisome ndo nichangie.
HUO NI UONGO ""THE LEGENDARY LOWASSA HAWEZI KUZUNGUMZA LOLOTE KWA SASA, KWANZA GAZETE LENYEWE LINAITWA WEMBE HUU NI UPUUZI""hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
Yule wa msoga vipi? Majipu yake si ndio jpm anatumbua.Nadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
If you can't fight them,join them.hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
LOWASSA AMESEMWA KUWA FISADI, HAJAPATIKANA NA 'JINAI' KWA UFISADI!! HAKUNA MAHAKAMA YEYOTE AMESHITAKIWA. MM SIO SHABIKI WAKE, ILA HAKUNA USHAHIDI KUWA YEYE NI FISADI KAMA UNAVYOAMINISHA WATUNadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
Huna tofauti na sabato masaliahivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
hivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
lowassa si mnafiki labda mtu awe hajui tafsiri sahihi ya neno MNAFIKI
Viroba noma sana, yani watanzania wamchague Rais wao halafu mahakama za kimataifa ziingilie maamuzi ya watanzania. ..?Really? Hizo mahakama zianze na Rwanda, Burundi, DRC, Syria, Yemen ecthivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
In your wildest dreamshivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
hata mafisadi wa ccm wanaotumbuliwa mapunye kila siku wana kiwewe sasa wanaisoma wao badala wapinzani wao.Katika siku ambazo naweza kukuunga mkono basi ni leo. Tangu Magufuli ameingia kiwewe, hujawahi kuappreciate kazi zake. Ila leo umeadmitt kuwa Magufuli kaleta kiwewe kwa mafisadi. Ahsante sana
Hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli Magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.