TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 936
Wakuu kama heading inavyojieleza hapo juu. Mh lowassa amekuwa akiongelea umuhimu wa elimu na ajira kwa vijana kila apatapo fursa ya kuongelea hilo.
Tukiacha ushabiki wa kichama, Je, ELIMU na AJIRA si ndio ukombozi wa taifa hili kwa mapana yake? Katika elimu kuna mengi ila kubwa zaidi ni kujifahamu! Wakuu hasa great thinkers njooni tutazame haya maneno mawili ya mh lowassa "ELIMU NA AJIRA" tuachane na ushabiki wa namna yeyote ile!
Nawaasa great thinkers tuwe wapole, wasikivu na kutafakari!
Karibuni wakuu wote!
Tukiacha ushabiki wa kichama, Je, ELIMU na AJIRA si ndio ukombozi wa taifa hili kwa mapana yake? Katika elimu kuna mengi ila kubwa zaidi ni kujifahamu! Wakuu hasa great thinkers njooni tutazame haya maneno mawili ya mh lowassa "ELIMU NA AJIRA" tuachane na ushabiki wa namna yeyote ile!
Nawaasa great thinkers tuwe wapole, wasikivu na kutafakari!
Karibuni wakuu wote!