Lowassa azungumzia kuanguka kwa Hosni Mubarak

hata kama ni jamaa ni fisadi,anaposema ukweli basi anasitahiri pongezi.
Hakuna binadamu mkamilifu duniani, hilo ni lazimatuliellewe.
Mbona viongozi wengine akiwemo Membe wamekaa kimya na wizara zao?
Jamaa kaongea ukweli, hata mkikataaa huo ndio ukweli.
Nakumbuka hata kule Arusha jamaa alitoa tamko kali sana la kuomba CCM na CDM watafute njia ya kukaa pamoja ili wamalize tofauti zao.
Tatizo hamaanishi anachoongea, matendo yake ni kinyume na anachosema, kama kweli kabadilika atuombe radhi watanzania na arudishe kila ambacho amekipata isivyo halali
 
Kuna jamii moja ya inzi, maisha yake anayaendesha kwa kulamba vidonda.... Majid hana tofauti na huyo inzi
 
Jamani huyo Mggid sio kwamba hayo ni mawazo yake jamani?
yeye amendika kulingana na yeye alivyokuwa akimwona mhusika sasa anatatizo gani?
ni mwandishi wa habari na anauhuriu wa kuchambua kwa mtazamo wake.
Lazima tukubali kutofautiana kwa hoja
Ndugu zangu wapendwa mpendwao na wapendao maendeleo ya nchi yetu, nawasalimuni nyote, nimeshindwa kukaa kimya nimeona niseme ingawa kidogo.
kweli maggid anaonyesha toka mwanzo wa ngoma kuwa upande wa mabeberu, lkn leo nisema kama alivyosema mchangiaji wa hapo juu, maggid amesema alichosikia nakuchambua akilni mwake, mimi kama mmoja wa wadanganyika ktk jamvi hili nasema ni kweli kabisa kapu la ccm limeoza lkn wapo wachache sn wanaweza kusema kama EL, japo ni fisadi sw lkn huyu jamaa ni kiongozi ukilinganisha na jamaa wa maswa aliyekuja cdm, Lowasa anashindwa kusema sory kama masai lkn ukiona mwanaume analeta kanga na kitenge kwa mkewe basi anaomba msamaha, ccm inahitaji watu wanaoona udhaifu kwenye safu ya ushambuliaji kwenye timu yao, yaani makamba amezaa shujaa kuliko yeye mwenyewe, nasema tusimseme tu chamsingi tuone nini kitaendelea, mawazo ya EL yanaonyesha upinzani kama wa kilango 2010 japo bado, nasema huyu jamaa kama si washauri wake na tamaa yakuvamia mji toka pori la ngrudoto akawakuta akina AR kama masifi maji wa mji na akina mnj wa kagoda huyu ni afadhari mara 100 kuliko akina minyuzi ambao wao ni upinzani hata kuna ukweli wa wazi.
Nawaambia kweli huyu ni bora kuliko mzee wa Rukwa hana lolote, maisha nikuona wapi umekosa unarudi jamii itakupokea hata kama uliuwa wenzio lkn bado waweza kubadili mtizamo wa watu wengi nchi ikabadilika.
Kwamfano EL akiwa rais japo ni ngumu na Magufuli prime na Sitta akawa washeria nchi imeondoka,
naomba tutoe nafasi kwa watu ambao ni nafuu japo tunawaona ni uoza katika kapu la ccm.
 
Nani kakwambia lowasa ni mmasai? Na pia watanganyika si wadanganyika sasa. Kaka naona kama unachemka sana. Asante kwa story ndefu lakini haina maana yoyote kwangu mimi. Huyu anaesema mubarak kajilimbikizia mali yeye mbona hajasema za kwake na familia yake? Kama aliweza kubomoa nyumba nzuri sana yake mwenyewe na kuijenga ndani ya siku chache wakati watu wake mwenyewe monduli hawana nyumba huo kama siyo ubinafsi tuuiteje? Hawa wazee wakae watulie wamechoka na wametuchosha pia. Ni kutaka kuleta vurugu bdae tu na hakuna kingine wanachotafuta. Pole magid.
 
Magid wewe ndumira kuwili wa kiwango cha juu.
Nimesoma hoja yako (Raia mwema) umewapinga viongozi mafisadi wa Afrika kiasi kusema hawajui watazikwa wapi.

Hapa unakuja na simulizi ya kiongozi mroho kuzidi fisi aonapo nyama. Hapana Magid acha kucheza na akili zetu.
EL anaweza kusema lolote kwa sasa maana anatamani akae kwenye kiti cha enzi ili kusiwe na mwenye kuhoji ufisadi wake.

Kuonyesha nia yako ovu unamsema Mwakyembe kwamba alimjeruhi tu badala kummaliza, toka lini Richmond saga ilikuwa vita ya Dr.HM Vs EL na sio Uzalendo vs Ufisadi?

Hata kama kwa ufisadi EL akawa rais bado si kiongozi wa kupigia chapuo.

Kama wewe kidume peleka hoja yako hiyo gazetini tuone kama wahariri makini wa raia mwema wataipitisha.
 
Baba wa taifa aliwahi kudokeza kuwa hali iliyomsukuma kubuni mfumo wa kuwa na miiko ya viongozi ni kutokana na kuona ya kuwa pengo kati ya walionacho na wasiokuwa nacho linapanuka kwa kasi. Alihofia kuwa hali hiyo isipodhibitiwa itahatarisha amani; hivi tuseme, kwa kauli ya Lowasa ya jana, kuhusu kuhangushwa madarakani kwa Mubaraka, naye ameanza kuona andiko ukutani ya kwamba bila kuchukua hatua, nchi yetu inaelekea kwenye mkumbo huo huo wa Misiri.
 
Hivi huyo Maggid ni nani?
Kuhusu Lowasa kuongea vizuri kuhusu upepo wa Misri na Tunisia ni kweli kabisa kaongea poa lakini na yeye yumo huko huko kwa matajiri wa kujilimbikizia
Kwa hiyo kwa nchi makini Lowasa hata Ubunge hasitahili kupewa kabisa yaani hata angekuwa hapo Kenya tu

Yeye aendelee kutafuta hela za kampeni lakini kushinda kwake ni ngumu na akishinda basi tanzania itaungana na wamisri,tunisia ,algeria na wengine wanaoelekea huko
 
Majjid ni mwandishi mnafiki sana. Ni mtu wa kung'ata na kupuliza..a luke-warm.
Mkuu, msimamo ni kitu muhimu sana maishani ili mtu aheshimike na baadae aweze kukumbukwa.
 
ebu tusaidiane jama kati ya lowassa na kikwete nan anafadhari? Ili umma ujue
 
Sasa hayo anayoongea yote yanamhusu yeye kama kujilimbikizia mali richmond dowans anajaribu kujisafishia njia kuelekea ikulu 2015.
 
Ndugu Zangu,

Mimi nimechangia mawazo yangu huru, ni tafsiri yangu. Hatuna sababu za kutoana macho. Maana, wote hatuwezi kuwa na tafsiri au mitazamo inayofanana. Ingekuwa hivyo, basi, jukwaa hili lisingechangamka. Na wengi mmechangia mawazo yenu, tafsiri zenu. Kuna mapya tunayojifunza. Hili ni jambo jema na ndio demokrasia.
Maggid
 
''Urafiki wetu haukuanza barabarani'' - JK vs EL

Kitu kizuri kula na rafiki...............nitakuachia urais 2015 kama rafiki ili kuendeleza maisha bora kwa kila mTZ kwa kasi ya ndege.......

Sipati picha ya hii movie..........

Hope waTZ watakuwa wamebadilika mpaka 2015. hata kama ni NEC ya CCM. Nguvu ya umma-mapinduzi yatakuchukua nafasi yake...

Say No to EL for presidency of TZ.
 
kwa nini kapewa UENEYEKITI WA KUDUMU??????? kwa lipi??? Au mimi ndo sielewi maana ya uenyekiti wa kudumu????
 
Hata Mubarak Mwenyewe alipoona ngoma nzito akajifanya yuko upande wa wananchi na kuwamwagia sifa!, lakini waaapi bado watu wakamtoa tu!!. sasa unashangaa Lowasa kuja na kauli za namna hii!.
 
hivi hata mwizi pindi anapoongea mazuri na yenye maana ni lazima yapingwe tu?
tuache mchezo wa kutaka kupinga kila kitu kisa ni Lowasa, kweli hapo tutakuwa tunapotoka sana.
We criticize kunapokuwa na madudu kama hayo ya RICH,DOWANS etc lakini kunapokuwa na mazuri lazima pia yasemwe(Praise on good thing).
Ukeli utabakia pale pale tu jamaa anauwezo wa kuthubutu wa kufanya maaamuzi makali na yenye mzingi kuliko hao wenzake.
yuko wapi Membe? si hiyo ndio wizara yake?

aakh! wewe unatutajia "Maembe" tena ooh sorry Membe, yaani kwa kifupi BROTHER, hao jamaa wa CCM hatuwahitaji tena si kuanzia Mwenyekiti wao wa chama mpaka mbeba file kwenye ofisi ya tawi HATUWATAKI, sasa hivi sisi tunachotaka kusikia ni namna gani neno/jina CCM litazikwa na tulisahau, LOWASSA hana hana nafasi mioyoni mwetu, YES anaweza kuwadanganya wamasai wenzake huko Monduli LAKINI HAWEZI KUFANYA HIVYO KWA WATANZANIA WOTE! nasisitiza tena, keshachafuka na hii inatosha apishe damu changa kama akina Mnyika wasukume gurudumu mbele, sitaki kuamini kwamba Lowassa ndiye mtanzania pekee mwenye akili na bidii ya kazi kama ambavyo wengi mnataka kutuaminisha.
 
Ndugu Zangu,

Mimi nimechangia mawazo yangu huru, ni tafsiri yangu. Hatuna sababu za kutoana macho. Maana, wote hatuwezi kuwa na tafsiri au mitazamo inayofanana. Ingekuwa hivyo, basi, jukwaa hili lisingechangamka. Na wengi mmechangia mawazo yenu, tafsiri zenu. Kuna mapya tunayojifunza. Hili ni jambo jema na ndio demokrasia.
Maggid

Ndugu yangu Majjid threads zako huwa zinanichanganya sana. Kwa mfano hii: Mahojiano Ya Lowassa Na TBC: Tafsiri Yangu. Kwa hiyo hapa unataka wanaJF tujadili tafsiri yako au mahojiano ya Mh. Lowassa na TBC? Nashindwa either nijadili tafsiri yako au mahijiano ya Lowassa na TBC. What exactly do you want us to do? Kama huwa unaweka hizi threads ili tujadili tafsiri zako binafsi badala ya the main topic, dont you see that you want to move us away from discussing the main issue which is already being discussed at https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...sa-azungumzia-kuanguka-kwa-hosni-mubarak.html to merely discussing your personal interpretations of the main issue?

Kwa mfano ukiangalia wachangiaji wengi hapo juu, badala ya kujadili Mahojiano Ya Lowassa Na TBC, they started to discuss your personality, etc. This is not their fault. I think you're the one who caused them to do so. Mkuu, you always seem to want to limit people to wajadili tafsiri zako binafsi badala ya the main issue which is Mahojiano Ya Lowassa Na TBC. Japokuwa huwa unasema ni mtazamo wako, you seem to always want your own personal interpretations to prevail.

Mkuu, nakubali unayo haki ya kuchangia mawazo yako huru. However, you also need to recognise that everyone is entitled to the same right as well. Let people debate on the main topic badala ya tafisiri zako binafsi. I think that would be much better. It is actually better. People would freely be able to debate the main issue than your personal interpretations. Otherwise, tutaishia kujadili tafsiri zako, badala issues zenyewe. This would be not to empower, rather to limit their thoughts on the main issue to your personal interpretations.

Mfano mzuri hili suala la Lowassa kuongea na TBC tayari linajadiliwa hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...sa-azungumzia-kuanguka-kwa-hosni-mubarak.html . Kwa nini hukuweka tafsiri yako binafsi kama wengine walivyofnya? Badala ya kupost tafsiri yako binafsi kwenye thread husika, you went on to create another thread juu ya tafsiri yako kwenye hili suala. To others this may sound as if you're an opportunist shielding yourself on the right to express yourself.

Nakubaliana na wewe hatuna sababu za kutoana macho. Lakini sidhani kama hili litawezekana if you always want people to discuss or let alone agree with your personal interpretations of things. Hili ndio watu wa Tunisia na Misri walikataa. I believe kwenye forums kama hii, everyone is equal to dabate on issues. Ni tofauti na blogs ambapo mtu unaweza kutoa tafsiri zako binafsi kulingana na itikadi zako then let people comment on it. But here instead of wanting us to debate the main issue, you appears as if you want us to discususs your personal interpretation of the main issue. It would have been ok if you wanted to educate us on the issue, but you said yourself kuwa ni tafsiri yako binafsi.

Ninachojaribu kusema ni kuwa, in the modern age of free information, we should not be bound by personal opinions, but by the opinions of the people. People should be free to discuss the main issue at hand instead of a personal opinion of a particular person on that issue. I would prefer people to use their knowledge and experience to empower people to speak on the issues facing them instead of speaking on personal opinion of certain people in our society.
 
Tatizo la EL anahisi ameandikiwa kuwa lazima awe rais wa nchi hii...

kazi tunayo aisee na tukiendelea hivi na siasa zetu za kukaa kimya kwa kila kitu tutamkuta magogoni siku moja

hii nchi ya ajabu sana ukipingana na watu kidogo utaona kina bro maggid wanakuja na makala zao za ajabu:coffee:
 
Back
Top Bottom