Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama ambaye pia ni waziri mkuu aliyejiuzulu bwana Edward Lowassa amethibitisha kuwa ni kiongozi mwenye maono na mtazamo(visionary leader).
Lowassa amezungumzia nguvu ya umma ya wananchi wa Misri katika maeneo yafuatayo:-
1. Amewasifu na kuwapongeza wanaharakati wa Misri
2. Ameongelea sualala umuhimu wa kuwepo ukomo wa uongozi
3. Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusoma alama za nyakati
4. Amezungumzia ubaya wa viongozi kujilimbikizia mali ambapo amesema
inasemekana Mubarak ana utajiri unaokaribia kumfikia Bill Gates
5. Amezungumzia athari za sera za ubepari kama mfumo huo hautachukuliwa kwa
umakini
6.Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusikiliza na kutatua matatizo ya watu
Lowassa amenena. Amethibitisha ukomavu wake ktk siasa na utendaji
Viongozi wote wa africa ndo tabia yao hiyo
Kasahau hata hapa bongo mambo ndio hayo hayo
Iko siku wananchi wataamka
peopleeeeeeeeeeees poweeeeeeeeeer
Mwambieni Lowasa aache unafiki hana tofauti na Mubarak huenda tofauti yao ni kuwa mmoja ni mweusi na mwingine ni mweusi,awambie wananchi nao wapinge Dowans na CCM na pia arudishe mali. Alizolimbikiza na hazina maelezo ya jinsi alivyopataAwasifia wananchi wa misri.
Amkosoa mubarak kwa kukaa madarakani bila kikomo,kutosikiliza wananchi na kujilimbikizia mali.
Awasifia wananchi wa misri.
Amkosoa mubarak kwa kukaa madarakani bila kikomo,kutosikiliza wananchi na kujilimbikizia mali.
Awasifia wananchi wa misri.
Amkosoa mubarak kwa kukaa madarakani bila kikomo,kutosikiliza wananchi na kujilimbikizia mali.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama ambaye pia ni waziri mkuu aliyejiuzulu bwana Edward Lowassa amethibitisha kuwa ni kiongozi mwenye maono na mtazamo(visionary leader).
Lowassa amezungumzia nguvu ya umma ya wananchi wa Misri katika maeneo yafuatayo:-
1. Amewasifu na kuwapongeza wanaharakati wa Misri
2. Ameongelea sualala umuhimu wa kuwepo ukomo wa uongozi
3. Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusoma alama za nyakati
4. Amezungumzia ubaya wa viongozi kujilimbikizia mali ambapo amesema
inasemekana Mubarak ana utajiri unaokaribia kumfikia Bill Gates
5. Amezungumzia athari za sera za ubepari kama mfumo huo hautachukuliwa kwa
umakini
6.Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusikiliza na kutatua matatizo ya watu
Lowassa amenena. Amethibitisha ukomavu wake ktk siasa na utendaji
Lowasa aache kabisa kumkosoa Mubarak hana haki hiyo.Wao si ndio kina Mubarak amekaa muda gani ktk ubunge kwa nini asiachie wengine nao waongoze jimbo lake.CCM imekaa miaka mingapi madarakani bila kutuletea mafanikio? Mbona haiambii iachie nchi? Lowasa Mubarak na wewe ni wamoja ila nchi tofauti. Kaa kimya
Awasifia wananchi wa misri.
Amkosoa mubarak kwa kukaa madarakani bila kikomo,kutosikiliza wananchi na kujilimbikizia mali.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama ambaye pia ni waziri mkuu aliyejiuzulu bwana Edward Lowassa amethibitisha kuwa ni kiongozi mwenye maono na mtazamo(visionary leader).
Lowassa amezungumzia nguvu ya umma ya wananchi wa Misri katika maeneo yafuatayo:-
1. Amewasifu na kuwapongeza wanaharakati wa Misri
2. Ameongelea sualala umuhimu wa kuwepo ukomo wa uongozi
3. Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusoma alama za nyakati
4. Amezungumzia ubaya wa viongozi kujilimbikizia mali ambapo amesema
inasemekana Mubarak ana utajiri unaokaribia kumfikia Bill Gates
5. Amezungumzia athari za sera za ubepari kama mfumo huo hautachukuliwa kwa
umakini
6.Amezungumzia umuhimu wa viongozi kusikiliza na kutatua matatizo ya watu
Lowassa amenena. Amethibitisha ukomavu wake ktk siasa na utendaji
mnhhhhhhhhhhhhhh.......................hapo chacha ndo nnapopinga