Nimependa hapo penye nyekundu. Tunataka rais anayeweza kufanya maamuzi. Mpaka leo mashirika mengi ya serikali/umma hayana watendaji kwa sababu ya kutofanya maamuzi.Lowassa amemaliza kuchangia hotuba ya Waziri mkuu kwa mbwembwe za kusifia mafanikio ya CC-Magamba kwa miaka 50. Amejidai kusema kwamba tuna maendeleo makubwa sana na hayo ni mafanikio ya Magamba na mtu asiwabeze. Amemshauri Jk kutoogopa kufanya maamuzi mazito kwani ni bora kufanya maamuzi ukakosea kuliko kutofanya kabisa.Ameendeleza porojo za uchumi kuwa unakuwa kuliko nchi nyingi duniani lakini hajaeleza kwa nini mtu wa kawaida kijijini anazidi kuwa maskini. ameshindwa kujua kwamba uchumi unapokua hau-trickle down bali unakingwa juju kwa juu na mafisadi akiwemo yeye kiasi kwamba haufiki kwa bibi na babu zetu kule vijijini.Anazungumzia kuwa barabara zimejengwa nyingi na madarasa bila kueleza hayo madarasa yamezaa vitu gani. Anaangalia quantity bila kuelezea quality kuonyesha kuwa bado ile tabia ya uVIVU WA KUFIKIRI NA KUTOKUWA REALIST KWA VIONGOZI WETU KUNA ENDELEA.Ameni fanya hata kufuta lile wazo kuwa anaweza kufikiriwa kuwa the next presidee 2015 kwani bado ana magamba mengi kuliko wanamagamba wenyewe. Anaonyesha hata kero za wananchi hazijui tena halafu anataka urais sijui kwa ajili ya kitu gani. Nilifikiri pia atakuja na kitu tofauti na Magamba kumbe yake yeye ni makubwa zaidi.
anashangiliwa ile mbaya, huyu jamaa anafaa kuwa president, tujenge reli ya kati, tupanue bandari tanga, dsm pesa tunazo, tumejenga udom kwa pesa zetu wenyewe
So what is the impact ya anachoongea?Anaongea Lowassa bungeni.
Anashangiliwa ile mbaya, anasema tujenge reli ya kati, tupanue bandari Tanga, DSM, pesa tunazo, tumejenga UDOM kwa pesa zetu wenyewe
Nasema na ntaendelea kusema na sitakoma kusema Lowasa hafai kuwa kiongozi wa taifa hili.Lowasa alipokuwa waziri mkuu alikuwa hafahamu ya kuwa wanapaswa kufanya maamuzi magumu? Nasema Lowasa hafai. Lowasa ulikuwa hufahamu kuna ulazima wa kujenga reli kipindi ulichokuwa madarakani? Lowasa acha unafiki usitafute kura za huruma kwa watanzania wakati uliwasaliti vilivyo na hizo hela unazosema zipo mbona mlizichukua na kuzikalia? Aibu aibu aibu tupu kwa Lowasa hufai wala hutofaa kuwa Rais wataifa hili.Anaongea Lowassa bungeni.Anashangiliwa ile mbaya, anasema tujenge reli ya kati, tupanue bandari Tanga, DSM, pesa tunazo, tumejenga UDOM kwa pesa zetu wenyewe
kwa kebehi mkuu.Washangaliaji wanafanya hivyo kwa KEBEHI au kwa dhat??????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!