tutoe maamuzi anasema bora uhukumiwe kwa kwa kutoa maamuzi si kwa kuogopa kutoa maamuzi, mawaziri wamekuwa waoga wa kutoa maamuzi toeni maamuzi jamani, kamaliza hotuba yake kwa kuunga mkono na alipomaliza ameshangiliwa na bunge zima mpaka wakamuonesha na sita akipiga meza!! this is funny politics!